Tetesi: Boom: Wajumbe wote wa Bodi ya Simba upande wa Mo Dewji wajiuzulu

Question is who is correct. Yes uongozi huu uliokuja haujafanya vizuri, from usajili mpaka to players , yes wame underperform. Ni sababu moja wapo ya matatizo yalioko simba, lakin kuna tatizo number 2, mashabiki
 
mleta mada rekebisha hapo pa Hamza Johari. johari sio Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania. kwa sababu wewe ni Kolo tafuta taarifa sahihi sikwambii.
 
Simba tumekwama sana yaani mwanaume mwenye pumbuhh anajiita shangazi mara mwingine ajiite Johari bora yanga wao ni joyce Lomalisa pekee mwenye jina la kike..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…