Bora Fisadi Aliyeleta Unafuu wa Maisha kwa Watu Kuliko Mwadilifu Ambaye Kila Siku Watu Wanalia Ugumu wa Maisha.

Mbona sasa hivi mafisadi yameshika hatamu ndio maisha yanazidi kuwa magumu kila kukicha.

Wezi wanajipimia mpaka aibu.
 
Yaani, acha tu ndugu yangu.
Tulipata hasara taslimu.
 
Mbona sasa hivi mafisadi yameshika hatamu ndio maisha yanazidi kuwa magumu kila kukicha.

Wezi wanajipimia mpaka aibu.
Eti wanasema, kwa sasa serikali iko mikononi mwa "waadilifu" Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…