Lema hoyeeeeeee!Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Mwambie ukweli huyo mpuuzi! Hajitambui! Mishahara ya Tz ni upuuzi mtupu!Huyo mfagia vyoo wa Canada anatengeneza hata mara 10 ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali ya Samia.
Mwambie ukweli huyo ndezi!Haya ni maoni yako na una haki ya kusikilizwa bila kubezwa, maana hata Malawi ujafika, leave alone Canada, kwa hiyo unatakiwa kuchukuliwa tu hivyo hivyo.
Mwambie ukweli huyo chawa!Mimi sio mpinzani ila naamini kipato cha msafisha vyoo wa Canada ni kikubwa kuliko bodaboda wa tz
Mwambie ukweli huyo kenge!Ulivyo chizi umekalia ubea, Lema amepata capital ya 3B kuanzisha usafiri wa anga, 3B hata muuzwe ukoo wenu wote hamuwezi kufikia hicho kiasi
Hata kuuza mwili ni kazi, acha kudharau kazi za watuUsidharau Kazi za Watu angalia Kazi halali inayoleta kipato ili kujikimu kimaisha, dharau mtu anaeiba au mvivu au anaeuza mwili apate mkate
Na anasave kiasi gani?Huyo mfagia vyoo wa Canada anatengeneza hata mara 10 ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali ya Samia.
Na matumizi jeHuku anayeosha vyombo tu analipwa dollar 20 kwa saa moja, zidisha masaa nane kwa siku halafu jiulize kwa mwezi anakunja sh ngapi na hapo bado ana benefits kibao kutoka kwa mwajiri wake na serikali ya canada.. sitaki kukwambia nafanya kazi gani hapa canada ila nakunja dola 52 kwa saa sasa jipigie hesabu ... kabla hujaaandika jambo tafuta taarifa zake kwanza.. hiki ulichoandika inadhihirisha wazi kuwa Tanzania ina wajinga wengi sana hata kama elimu wanazo nashauri badilisheni zile rangi za benderaa..
Mijadala kama hii inashusha hadhi ya Jamii Forums na Haina mchango wowote kwa jamii. Ni vyema ikaepukwa. Leta issues nzito za wanaNchi.Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Haya mane o yako yamechelewa ingekuwa wakati ule SUKUMA GANG wanatrend ungepata angalau chibuku kubwaHuyo mfagia vyoo wa Canada anatengeneza hata mara 10 ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali ya Samia.
Singeku ya Sabaya imeishiaga wapi? Kutoka umeshindikana?! Naona umehamisha mahaba Kwa Lema sasaKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Siungi mkono hoja ya mtoa mada ila hayo ya Lema kukunua usafiri wa Anga, nayo ni mapya?Ulivyo chizi umekalia ubea, Lema amepata capital ya 3B kuanzisha usafiri wa anga, 3B hata muuzwe ukoo wenu wote hamuwezi kufikia hicho kiasi