Bora kuwa huru ukiendesha bodaboda Tanzania kuliko kuwa mfagia vyoo wa Canada

Bora kuwa huru ukiendesha bodaboda Tanzania kuliko kuwa mfagia vyoo wa Canada

Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao

Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Lema hoyeeeeeee!
 
Usidharau Kazi za Watu angalia Kazi halali inayoleta kipato ili kujikimu kimaisha, dharau mtu anaeiba au mvivu au anaeuza mwili apate mkate
 
Basi msiwa treat bodaboda kama wafanyabiashara wa magendo

Ova
 
Huku anayeosha vyombo tu analipwa dollar 20 kwa saa moja, zidisha masaa nane kwa siku halafu jiulize kwa mwezi anakunja sh ngapi na hapo bado ana benefits kibao kutoka kwa mwajiri wake na serikali ya canada.. sitaki kukwambia nafanya kazi gani hapa canada ila nakunja dola 52 kwa saa sasa jipigie hesabu ... kabla hujaaandika jambo tafuta taarifa zake kwanza.. hiki ulichoandika inadhihirisha wazi kuwa Tanzania ina wajinga wengi sana hata kama elimu wanazo nashauri badilisheni zile rangi za benderaa..
Na matumizi je
 
Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao

Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Mijadala kama hii inashusha hadhi ya Jamii Forums na Haina mchango wowote kwa jamii. Ni vyema ikaepukwa. Leta issues nzito za wanaNchi.
 
Huyo mfagia vyoo wa Canada anatengeneza hata mara 10 ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali ya Samia.
Haya mane o yako yamechelewa ingekuwa wakati ule SUKUMA GANG wanatrend ungepata angalau chibuku kubwa
 
Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao

Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Singeku ya Sabaya imeishiaga wapi? Kutoka umeshindikana?! Naona umehamisha mahaba Kwa Lema sasa
 
Ulivyo chizi umekalia ubea, Lema amepata capital ya 3B kuanzisha usafiri wa anga, 3B hata muuzwe ukoo wenu wote hamuwezi kufikia hicho kiasi
Siungi mkono hoja ya mtoa mada ila hayo ya Lema kukunua usafiri wa Anga, nayo ni mapya?
Hivi unajua bei ya ndege? au labda una ongelea Mabasi ya kwenda Dar?
Hiyo hela uliyotaja inaweza kuleta Yutong 5 au Scania Marcopolo 3
 
Watu wa akili yako ni wa kupuuzwa sna

Ni vibaraka wa viongozi wa ccm

Mmekua na akili na mtazamo matope
 
Mleta uzi labda tukuulize ukipewa choice ya kupiga bodaboda bongo au kuingia pale Toronto Canada na kupewa full kazi ya kufanya usafi, utachagua nini? au badilisha uzi uweke kwenye polls tuone watu wangapi watachagua bodaboda au Canada, kwa kuanza mimi nachagua kufanya kazi ya usafi Toronto Canada...tuendelee
 
Back
Top Bottom