Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Utanishtua tuingie wote TorontoMleta uzi labda tukuulize ukipewa choice ya kupiga bodaboda bongo au kuingia pale Toronto Canada na kupewa full kazi ya kufanya usafi, utachagua nini? au badilisha uzi uweke kwenye polls tuone watu wangapi watachagua bodaboda au Canada, kwa kuanza mimi nachagua kufanya kazi ya usafi Toronto Canada...tuendelee
Kwa kifupi huna akiliKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Hiyo nikazi ambayo umekosa mbadala.Hakuna mtu anafanya kazi ya bodaboda Kwa mapenzi yake
Wengi wao ni hakuna kitu kingine cha kufanya
Muongeze huyoKwa kifupi huna akili
Una kichaa wewe, hawezi kukodi lazima anunue cash?Siungi mkono hoja ya mtoa mada ila hayo ya Lema kukunua usafiri wa Anga, nayo ni mapya?
Hivi unajua bei ya ndege? au labda una ongelea Mabasi ya kwenda Dar?
Hiyo hela uliyotaja inaweza kuleta Yutong 5 au Scania Marcopolo 3
Kumbe kiaziUnatumia username ngumu nikajua una akili.
Kwa biashara ya usafiri wa anga 3B ni mtaji kidogo sana kama ni kwa pesa yetu ya madafu pengine iwe 3B USD.Una kichaa wewe, hawezi kukodi lazima anunue cash?
Au pengine alimaanisha 3B USD (ambayo si rahisi hata hivyo ukizingatia kina Mo Dewji tu wana Net worth za 1.5bn USD na ndiyo tajiri no 12 Africa) Lakini kama ni hii pesa yetu,nakubaliana na wewe mambo siyo rahisi kihivyo kwa huo mtaji kuwekeza kwenye biashara ya usafiri wa anga.Siungi mkono hoja ya mtoa mada ila hayo ya Lema kukunua usafiri wa Anga, nayo ni mapya?
Hivi unajua bei ya ndege? au labda una ongelea Mabasi ya kwenda Dar?
Hiyo hela uliyotaja inaweza kuleta Yutong 5 au Scania Marcopolo 3
Mkuu hata kama umekerwa na Lema ila this is too much. Mfagia vyoo Canada ana hela kuliko Graduate aliyeajiriwa na Halmashauri TZ. Nakumbuka kuna jamaa mhindi alikuwa houseboy Qatar mshahara wake ulikuwa USD 3500 kwa mwezi. Mponde Lema kwa facts.Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao.
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu.
kazi ni kazi tu alimradi uchumi unasonga mbele. Wanaofanya hizo kazi iwe hapa au nje ya nchi inafaa tuwaheshimu sana kwani wanatoa huduma muhimu kwa jamii.Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao.
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu.
Lema kazi anayo aiseee ina onekana katoa boko kweli kweliKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao.
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu.
HAKIKASasa sote tukiwa wanasiasa nani atakuwa bodaboda? Nani atakuwa mwalimu? Nani atakuwa nurse? Nani atakuwa mwanasheria? N.k. Ifike sehemu tuheshimu kazi ya kila mmoja. Tunategemeana.
Lema amechemsha sanaKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao.
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu.
Yaan wewe unajiona uko huru na huna hela. Bro acha utani tafuta hela uwe huru mzee. Huwez kuwa huru ukiwa mchovu hata kwako utapaona jehanamKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao.
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu.
Ndege ni kati ya Biashara Ngumu kufanya duniani.....Una kichaa wewe, hawezi kukodi lazima anunue cash?
Njoo umpikie wewe kama unaona wivu.Utaelewa nini mpuuzi wewe? subiri wenzako wanatafuta connection wewe umekalia kumpikia mumeo
MpuuziNjoo umpikie wewe kama unaona wivu.