Duh bora mke wa mtu mtamaliza kuliko mwanafunzi
Interesting...
huwezi avoid wote?
Labda nkuambia kitu kimoja kama ntakuwa nakosea utanisahisha ukimatwa na mwanafunzi yeyote au chuo au secondary au primary .umri hata akiwa miaka 25 bado utakuwa na hatiaMwanafuzi ni wa Primary na Secondary tu hakuna mwanafunzi wa chuo ila kuna Mwanachuo!
Ukishikiliwa.bango eti umetembea na mwanachuo basi labda awe chini ya 18,tofauti na hapo ni uonevu ambao hutakiwi kuukubali!
Hata hivyo mwanafunzi ni majanga ukikutwa nae
Mkuu cku ukikumbana na timbwili la kufumaniwa na mke wa mtu tunaomba urudi tena hapa uje utupe tathmini kati ya mwanafunzi na my wife wa mtu.
Duh bora mke wa mtu mtamaliza kuliko mwanafunzi