Bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi

Bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi

Kwa hiyo upo tayari kuweka rehani heshima ya makalio yako?

Wewe jifanye tu kuwa hutambui kuwa mke wa mtu ni sumu...
 
Asimilia kubwa wapo sero

OK
Asilimia ndogo ya waliofumaniwa na wake za watu wameuwawa.
So ktk makundi haya unaweza kuwa kundi lolote ..asilimia ndogo doesn't mean zero...so unaweza kuwa kati ya asilimia ndogo..choice is yours.

My point is ,uliposema bora kufumaniwa na mke wa mtu kuliko mwanafunzi mimi sioni ubora ..naona hatari kubwa.
 
Kwa hiyo upo tayari kuweka rehani heshima ya makalio yako?

Wewe jifanye tu kuwa hutambui kuwa mke wa mtu ni sumu...
Mke wa mtu ni sumu na mume ni wa mtu ni maziwa hakuna shida
 
OK
Asilimia ndogo ya waliofumaniwa na wake za watu wameuwawa.
So ktk makundi haya unaweza kuwa kundi lolote ..asilimia ndogo doesn't mean zero...so unaweza kuwa kati ya asilimia ndogo..choice is yours.

My point is ,uliposema bora kufumaniwa na mke wa mtu kuliko mwanafunzi mimi sioni ubora ..naona hatari kubwa.
Kwa utafiti wangu asilimia kubwa waliofumaniwa na wake za watu wamebaki salama kuliko waliofuniwa na wanafunzi wengi wao wameishia pabaya sana asante kwa ushauri wako.
 
Duuh,kama hivyo ndivyo ngoja nijongee Kimboka by night ama pale Kahumba pale Mji kasoro bahari!
 
Labda nkuambia kitu kimoja kama ntakuwa nakosea utanisahisha ukimatwa na mwanafunzi yeyote au chuo au secondary au primary .umri hata akiwa miaka 25 bado utakuwa na hatia

Hakuna kitu kama hicho mkuu Emma!!acha woga wa ajabu!hapa naongea kwa uhakika wa sheria sio kwamba nabahatisha ninachokisema!!

Mwanamke anamiaka 25 na ni mwanachuo anaruhusiwa kuolewa kisheria!kosa litakuja endapo utakuwa umembaka!!!lakini kama kuna makubaliano baina yenu wawili hakuna sheria inayoweza ikakufunga.Sura ya 16K/A Ya mwenendo wa makosa ya jinai hakuna hicho kifungu chenye Punishment ya hivyo ndugu yangu.

Na ukikamatwa kwa kosa la kutembea na mwanachuo wa umri huo basi komaa upelekwe mahakamni ukaone maajabu ya Law.

Kwa mwanafunzi under 18 of age hata kama mkikubaliana utakuwa na kosa la kujibu ukikamatwa nae na Punishment ipo.
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu Emma!!acha woga wa ajabu!hapa naongea kwa uhakika wa sheria sio kwamba nabahatisha ninachokisema!!

Mwanamke anamiaka 25 na ni mwanachuo anaruhusiwa kuolewa kisheria!kosa litakuja endapo utakuwa umembaka!!!lakini kama kuna makubaliano baina yenu wawili hakuna sheria inayoweza ikakufunga.Sura ya 16K/A Ya mwenendo wa makosa ya jinai hakuna hicho kifungu chenye Punishment ya hivyo ndugu yangu.

Na ukikamatwa kwa kosa la kutembea na mwanachuo wa umri huo basi komaa upelekwe mahakamni ukaone maajabu ya Law.

Kwa mwanafunzi under 18 of age hata kama mkikubaliana utakuwa na kosa la kujibu ukikamatwa nae na Punishment ipo.

Je akiwa anasoma ukikamatwa naye ana umri wa miaka zaidi ya 25 inakuwaje?
 
Back
Top Bottom