Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Nimefika dodoma toka juzi
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saana

View attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app

Sawa mwaisa mtu mbadi [emoji851]ila unaposema Dodoma sio mji wa biashara umeshawahi kufanya hata biashara ya kuuza karanga!?
 
Nimefika dodoma toka juzi
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saana

View attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Unahasira na wenyeji wa mkoa wa Dodoma jipige kifua mara tatu sema Mungu nitoe kwenye dhambi ya wivu miji yote Iko poa kutegemea issues zako tu kuna mbeya humtoi hata kwa greda na kuna myakyusa Dom humtoi hata kwa Nini offcource umeongea veper tu
 
nlchokiona mbeya
1, wachafu na wananch s wastaarabu yan bas zima wanaongea uyu wa mbele anaongea na wa nyuma cm ikpgwa ndio sir zao zote znajulkana mana hawajui kuongea pole pole
2, kitu kinaitwa muda kwa sio shda kukukalsha masaa 3 wao n jambo la kawaida
3,Wako rafu kwenye kila ktu hata uandaaj wa vyakula
4 nlchopenda n chips za buku n mzgo wa maana na nyama kwao bado iko bei ya chin kwaio pale bado n kijiji na apafai kuitwa jiji

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Beware na misosi ya mbeya wanaweka amira kwenye kila kitu hadi ugali

Sijui hii tabia kama wameshaacha
 
Mi nyumbani Mbeya ila naona Haistahili hata kuwa Jiji Yaani Mbeya ni Kama Kijiji Kilichochangamka aisee

Tukisema tunaonekana tunaikandia Mbeya wakati wengine were born and raised in Mby.

Mby ni Kijiji kikubwa no more no less.

Hizo sehemu wanazosifia ni utopolo mtupu ila sababu standard Mby ziko chini basi zinaonekana nzuri.

Tukisema huduma ambazo Mby hazipo wanasema sio za lazima au muhimu bila kujua wingi wa huduma tena zenye ubora ndo zinafanya mji kuwa Jiji.

Naipenda Mby ila Mby ni Ileje yenye watu wengi tu.
 
Stand Eng waliojenga hawakudesign vizuri.

Barabara zitapanuliwa soon..kuhusu kuharibika mfano kipande Cha simike yaani hata aende kujenga nani,poatabomoka tu!pameshikiliwa pale .


Uzuri Mbeya jatutegemei Garden uchwara kuweka kijani.

Sisi jiji letu ni kijani tosha.
Sasa hao Engineers wa Mbeya watoke wakajifunze Morogoro Mwanza Dodoma na kwingineko maana inaonesha wamefeli pakubwa.
City Garden pia watu walipiga hela, wakatafuta wajenzi wa Ituha wakaja kujenga bila hata ramani.
Ila hakika nakwambia, lile eneo lingepata Designer mzuri, lingekua sehemu nzuri sana watu kupumzika na kuooozea machungu ya maisha. Iwe tajir au maskini.
Jiji walimtafuta fundi Michael wakamaliza kazi.
Singida inaenda kuipita Mbeya hivihivi tunaiona
 
Kuna kipindi nilienda,nkapanda daladala nikakaa siti ya nyuma,basi wakaja wamama wawili vibonge wakakaa nilipokaa...yaani walinibana hadi nafika Mbalizi nipo hoi
Afu wanaongea kinyaki tu [emoji16]
 
Back
Top Bottom