Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Ukienda migahawa ya kawaida ya vichochoroni lazima upate huduma za vichochoroni... Nchi nzima iko hivyo

Hivi hukuona migahawa, restaurant au hotel Nzuri hadi uende vichochoroni ndio uje kuongelea Mbeya

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
hapukuwa pabaya sana ila hali ilikuwa hivyo kwa level kama hiyo Dodoma wanafanya vizuri
 
Mbeya mzunguko wa fedha hakuna? Are you serious or kidding? Bila ya Serikali Dodoma ni zero tena zero kabisa. Mbeya inajiendesha yenyewe
Mzunguko wa pesa kwa mbeya mjini hakuna kabisa labda Tunduma na chunya

Na nahisi Kama mbeya inaongoza kwa mapato mapato mengi yanatokea sehemu izo mbili ila sio mbeya mjini
 
nlchokiona mbeya
1, wachafu na wananch s wastaarabu yan bas zima wanaongea uyu wa mbele anaongea na wa nyuma cm ikpgwa ndio sir zao zote znajulkana mana hawajui kuongea pole pole
2, kitu kinaitwa muda kwa sio shda kukukalsha masaa 3 wao n jambo la kawaida
3,Wako rafu kwenye kila ktu hata uandaaj wa vyakula
4 nlchopenda n chips za buku n mzgo wa maana na nyama kwao bado iko bei ya chin kwaio pale bado n kijiji na apafai kuitwa jiji

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kwa mwandiko huu, bila shaka wewe ni demu wa pale Mbeya Pazuri baa.
 
Tulia wewe tuntufye...Mbeya nzima maswimming pool ni mawili tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo jina[emoji1787]
Kuna mtoto Anaitwa hilo jina,
Anawaambia wenzie marufuku kuniita Tuntufye,Naitwa ntyuntyu [emoji1787].


Sasa swimming pool za nini na baridi lote lile??
Ukienda Mbeya utatamani utembee na Blanket halafu wanaume wa Dar mnatuambia habari za swimming pool!!mnataka baridi iwaue??[emoji23]Au mnadhani ni jiji la hovyo lenye fukuto la joto kama huku kwenu Daslama?
 
Hilo jina[emoji1787]
Kuna mtoto Anaitwa hilo jina,
Anawaambia wenzie marufuku kuniita Tuntufye,Naitwa ntyuntyu [emoji1787].


Sasa swimming pool za nini na baridi lote lile??
Ukienda Mbeya utatamani utembee na Blanket halafu wanaume wa Dar mnatuambia habari za swimming pool!!mnataka baridi iwaue??[emoji23]Au mnadhani ni jiji la hovyo lenye fukuto la joto kama huku kwenu Daslama?
Ni kweli mwanaume wa Dar lakini hio Mbeya baridi yake hua ni usiku na alfajiri, mchana hua ni jua kali linachoma kabisa..swimming pool muhimu maana sio watu wote wakarundikane City Pub, Mwailubi, Mbeya pazuri au Carnival walau wengine siku za wikend au sikukuu tuende kuogelea huko na kuchill na nyie akina Tuntufye aka ntyuntyu...🤣🤣😷😷
 
Ni kweli mwanaume wa Dar lakini hio Mbeya baridi yake hua ni usiku na alfajiri, mchana hua ni jua kali linachoma kabisa..swimming pool muhimu maana sio watu wote wakarundikane City Pub, Mwailubi, Mbeya pazuri au Carnival walau wengine siku za wikend au sikukuu tuende kuogelea huko na kuchill na nyie akina Tuntufye aka ntyuntyu...[emoji1787][emoji1787][emoji40][emoji40]
Mkaogelee wapi na ile baridi?
Wewe nenda halafu utaniambia kama utatamani kuogelea.[emoji1787]


Sisi na swimming pool wapi na wapi?kutaka kuaibishana bure[emoji23][emoji23][emoji23]


Mkuu majina yetu ya kizungu...usiwasikize wanaodhani sisi wote ni akina Mwafilombe.


Mbeya ni Ulaya iliyochangamka.
 
Moja ya vitu vinavyoikwamisha Mbeya kuendelea ni Rushwa tu. Barabara wanazojenga kwa macho zinaonekana ni nzuri tu ila ndani ya mwaka mmoja utaona mashimo mashimo kibao. Angalia Stendi za Mabasi hasa ya nananane. Ile stendi imejengwa kipindi ambacho mikoa yote inajenga stendi zao lakini Mbeya kwa ukubwa wa mji ule na uwingi wa mabasi yanayotoka mbeya kwenda mikoani na yale yanayopita yakiwa safarini, ile stendi haina hadhi hata kidogo ya kuhandle purukushani hizo.
Turudi sasa kwenye ile City Garden. Kabla ya kujengwa wananchi waliaminishwa itakwenda kubadilisha mandhari ya mji wa mbeya [emoji16][emoji16][emoji16]Wote ni mashahidi city garden ilojengwa ni uchafu mtupu.
Kitu cha pili kinachoirudisha Mbeya Nyuma ni ishu za kisiasa. Huenda mbeya inaadhibiwa "vikali" na uamuzi wa wao kipindi hicho kumchagua mbunge wa chama pinzani na kumpa sifa zaidi ni rais wa Mbeya. Viongozi wakubwa wakubwa wa serikali hawakanyagi Mbeya + mikoa ya kusini. Kama hawakanyagi ni wazi kwamba hata kukumbukwa kimaendelea ni ngumu. Effect ya Mh mbunge wa sasa bado haijaonekana despite her position bungeni.
Mbeya pale ilipo ni jitihada za wenyeji katika kujenga majengo mazuri kwa ajili ya ofisi zao pamoja na nyumba za makazi.
Barabara ndio [emoji17][emoji17]
Dodoma inaonekana kukua kwa haraka kwa sababu serikali inawekeza pakubwa zaidi kuliko wananchi wenyewe.

ARUSHA sasa inaenda kuipita Mbeya [emoji23][emoji23] Joke joke joke
 
Moja ya vitu vinavyoikwamisha Mbeya kuendelea ni Rushwa tu. Barabara wanazojenga kwa macho zinaonekana ni nzuri tu ila ndani ya mwaka mmoja utaona mashimo mashimo kibao. Angalia Stendi za Mabasi hasa ya nananane. Ile stendi imejengwa kipindi ambacho mikoa yote inajenga stendi zao lakini Mbeya kwa ukubwa wa mji ule na uwingi wa mabasi yanayotoka mbeya kwenda mikoani na yale yanayopita yakiwa safarini, ile stendi haina hadhi hata kidogo ya kuhandle purukushani hizo.
Turudi sasa kwenye ile City Garden. Kabla ya kujengwa wananchi waliaminishwa itakwenda kubadilisha mandhari ya mji wa mbeya [emoji16][emoji16][emoji16]Wote ni mashahidi city garden ilojengwa ni uchafu mtupu.
Kitu cha pili kinachoirudisha Mbeya Nyuma ni ishu za kisiasa. Huenda mbeya inaadhibiwa "vikali" na uamuzi wa wao kipindi hicho kumchagua mbunge wa chama pinzani na kumpa sifa zaidi ni rais wa Mbeya. Viongozi wakubwa wakubwa wa serikali hawakanyagi Mbeya + mikoa ya kusini. Kama hawakanyagi ni wazi kwamba hata kukumbukwa kimaendelea ni ngumu. Effect ya Mh mbunge wa sasa bado haijaonekana despite her position bungeni.
Mbeya pale ilipo ni jitihada za wenyeji katika kujenga majengo mazuri kwa ajili ya ofisi zao pamoja na nyumba za makazi.
Barabara ndio [emoji17][emoji17]
Dodoma inaonekana kukua kwa haraka kwa sababu serikali inawekeza pakubwa zaidi kuliko wananchi wenyewe.

ARUSHA sasa inaenda kuipita Mbeya [emoji23][emoji23] Joke joke joke
Stand Eng waliojenga hawakudesign vizuri.

Barabara zitapanuliwa soon..kuhusu kuharibika mfano kipande Cha simike yaani hata aende kujenga nani,poatabomoka tu!pameshikiliwa pale .


Uzuri Mbeya jatutegemei Garden uchwara kuweka kijani.

Sisi jiji letu ni kijani tosha.
 
Kama mji kuchangamka ndoo kigezo cha kua makao makuu kwanini hawajaipa dar...mbeya anaizidi dar nini....jaribu kutafuta sababu za makao makuu kuwa dodoma kabla ya kuleta mada...fanyia tafiti unachotaka kupost huku jf kumejaa watu tofauti kidogo na facebook
 
nlchokiona mbeya
1, wachafu na wananch s wastaarabu yan bas zima wanaongea uyu wa mbele anaongea na wa nyuma cm ikpgwa ndio sir zao zote znajulkana mana hawajui kuongea pole pole
2, kitu kinaitwa muda kwa sio shda kukukalsha masaa 3 wao n jambo la kawaida
3,Wako rafu kwenye kila ktu hata uandaaj wa vyakula
4 nlchopenda n chips za buku n mzgo wa maana na nyama kwao bado iko bei ya chin kwaio pale bado n kijiji na apafai kuitwa jiji

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kuna kipindi nilienda,nkapanda daladala nikakaa siti ya nyuma,basi wakaja wamama wawili vibonge wakakaa nilipokaa...yaani walinibana hadi nafika Mbalizi nipo hoi
 
Angalia mkuu,usije ukawa umeingia vibaa vya katikati ya mji pale Dodoma vilivyochoka ukafikiri ndio umeijua Dodoma,hivi kweli unailinganisha Dodoma na mji kama Mbeya...?
 
Kuna kipindi nilienda,nkapanda daladala nikakaa siti ya nyuma,basi wakaja wamama wawili vibonge wakakaa nilipokaa...yaani walinibana hadi nafika Mbalizi nipo hoi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umefika mara ya mwisho lini Mbeya... Njoo new Mbeya pazuri... Ujionee.. uzuri wake kama ulifika mwaka jana kurudi nyuma usicoment hapa

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Pakawaida sana sijui unlinganisha na nini? Kwenye sehemu za starehe Mbeya bado sana! Dodoma inakuja juu hata kwenye viwanja vya starehe/burudani.
 
Mi nyumbani Mbeya ila naona Haistahili hata kuwa Jiji Yaani Mbeya ni Kama Kijiji Kilichochangamka aisee
 
Back
Top Bottom