"Bora msagaji kuliko mume wangu"

"Bora msagaji kuliko mume wangu"

Huyo mshenzi tuu wa tabia na Hana malezi, ivi unaanzaje kumkashif mumeo mbele za wenzio, Kama bao moja tuu basi na yeye pia sio mwanamke wa kisawa sawa, ampe nyama tamu ya ulimi, ampoke mume akirudi kazini, a ulize siku ya mwenzie ilikwendaje? Amliwaze, ampumbaze am chombeze, ampikie amuandalie, yy mwenyewe awe msafi anukie Kama Udi au manukato mazuri, hatoki huyo, mwambie arudi unyagoni asilaumu bure kosa lake mwenyewe, ndio mana nyumba ndogo zina pewa kila kitu sababu wanajitumaaa.....


"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."

nyumba ndogo nyumba kubwa skuiz
 
Shida ni wanawake wa kiafrika kuendekeza ngono badala ya maendeleo.

kila saa wanawaza ku...tiwa tu. Hizi vitu inatakiwa viwe na ratiba na sio kila siku kila saa kisa umeolewa.

Niishie hapo nitarudi badae, ngoja nipate kitu bariiiidi kwanza ili niondoe uchovu wa siku
 
maneno hayo mpaka katika khanga yapo...pumbu pumbu tu huwezi fananisha na midori au vidole.....hizo kelele tu
 
Uyo mwanamke kwanza hana adabu, itakuaje akatangaze nje aibu ya mumewe
 
Shida ni wanawake wa kiafrika kuendekeza ngono badala ya maendeleo.

kila saa wanawaza ku...tiwa tu. Hizi vitu inatakiwa viwe na ratiba na sio kila siku kila saa kisa umeolewa.

Niishie hapo nitarudi badae, ngoja nipate kitu bariiiidi kwanza ili niondoe uchovu wa siku
hahahahaha
 
Tatizo ni wanaume kupungukiwa nguvu za kiume au ni wanawake kuzidiwa na nguvu za kike?!!! Nadhani tatizo liko pande zote mbili. Wanawake wa siku hizi wanaume inabidi kujipanga haswaaa maana ashiki zimewazidi hawa wanawake.

ni shidaaa.. .wanawake kwa wanawake.. wanaume kwa wanaume ngoma droo!!
 
Back
Top Bottom