tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,215
- Thread starter
- #101
afadhali tunasaidiwa... ni mwendo wa moja fupi kaaaliii afu tunaendelea na mambo mengine ya kujenga taifa.
hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
afadhali tunasaidiwa... ni mwendo wa moja fupi kaaaliii afu tunaendelea na mambo mengine ya kujenga taifa.
kweli old iz goldVicchpx n mijiyai ya kuku isiyo na baba imewaharibu midume. Dumee ziiimaaa ka1 kushney. Enzi zetuu bhanaa round 1 goli kama Brazil ilizopewa as long mke akimuona mume anashiiitukaaa maana nyavu zitakomaa
Huyo mshenzi tuu wa tabia na Hana malezi, ivi unaanzaje kumkashif mumeo mbele za wenzio, Kama bao moja tuu basi na yeye pia sio mwanamke wa kisawa sawa, ampe nyama tamu ya ulimi, ampoke mume akirudi kazini, a ulize siku ya mwenzie ilikwendaje? Amliwaze, ampumbaze am chombeze, ampikie amuandalie, yy mwenyewe awe msafi anukie Kama Udi au manukato mazuri, hatoki huyo, mwambie arudi unyagoni asilaumu bure kosa lake mwenyewe, ndio mana nyumba ndogo zina pewa kila kitu sababu wanajitumaaa.....
"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
hahahahaMwache asagwe tu, kinachosagwa kiisha atarudi nyumbani.
Si unajua hata kwenye mashine ya kusaga unaenda na mahindi yakiishasagwa unabeba unga wako unarudi nyumbani.
anahitaji maombi
basi hamna haja ya kuoa...kama maisha ni kutafuta pesa tu
bhas maombeziWakati mwinginf maombi yanashindikana
Ila pesa ndio msingi imara wa ndoa..usiombe umegewe kwa sababu huna pesa. Hio inakuwa inauma sana kuliko kuchapiwa kwa nyege zake tu
fafanua mkuuMedia zitawauwa
There you are!Shida ni wanawake kupenda au kuendekeza ngono badala ya maendeleo.
i think mesage sent, u have already tell themYou should have told those women they dont have to make sex satisfaction a priority.
hahahahahaShida ni wanawake wa kiafrika kuendekeza ngono badala ya maendeleo.
kila saa wanawaza ku...tiwa tu. Hizi vitu inatakiwa viwe na ratiba na sio kila siku kila saa kisa umeolewa.
Niishie hapo nitarudi badae, ngoja nipate kitu bariiiidi kwanza ili niondoe uchovu wa siku
mapengo junior
duuuh!!!maneno hayo mpaka katika khanga yapo...pumbu pumbu tu huwezi fananisha na midori au vidole.....hizo kelele tu
Tatizo ni wanaume kupungukiwa nguvu za kiume au ni wanawake kuzidiwa na nguvu za kike?!!! Nadhani tatizo liko pande zote mbili. Wanawake wa siku hizi wanaume inabidi kujipanga haswaaa maana ashiki zimewazidi hawa wanawake.
Uyo mwanamke kwanza hana adabu, itakuaje akatangaze nje aibu ya mumewe