Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Khaaa Asee.Yatakuwa fresh sana imagine jinsi tutakavyokuwa tunagegeduana vizuri na kwa uhuru...full burudani
Ningeshangaa Yani usifike kituoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa Asee.Yatakuwa fresh sana imagine jinsi tutakavyokuwa tunagegeduana vizuri na kwa uhuru...full burudani
Akili zao hawa kenge wanazijua wenyewe 🤣🤣🤣.Cha ajabu Mke anamwacha mume wake kwa sababu ya michepuko ila yeye anaenda kudate na mume wa mtu tena
Watu wakiacha kuoana kwa kuendeshwa na nyege, ndoa hazitakua na shida kama kipindi hiki.Yeah akili za kuambiwa changanya na zako, kibaya kwa huyu lakini kizuri kwa yule
Kwa hiyo jimbo lipo wazi, eeh?Sitaki kuleta ushuhuda ila naendelea kuinjoy
KabisaYeah ilimradi tu ukibahatika nafuu kwako unainjoy maisha.
Unatuita mbuzi😂😂Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake.
Ni kweli, ila za nyumba kwa nyumba ruksacampaign zimezuiliwa na Serikali.
Na wewe pia😂Na yeye akiwepo kama mbuzi namba Moja😂, hajawaacha peke yenu
Unainjoy, really?Zamani kabla ya kuingia ndoani nikiona watu wanaachana nilikuwa najiuliza hivi inawezekanaje mtu amuache mkewe au mumewe waliooana kwa bashasha zote, weee!! Kumbe ulikuwa ni utoto , ukikua utaacha.
Kuna ule wimbo wa darasa unasema " Tembea ujionee Dunia imebeba mengi".
Kweli Kabsaa Dunia imebeba mengi.
Watu hawafanani, hatuwezi kuhukumu kwa ujumla, lakini ukiona amezingua jitoe tu kwa Amani ya nafsi na ya moyo, usiyabebe maumivu kwa miaka mingi , ni hatari kwa afya yako ya akili.
Afadhali ya ugali matembele kwenye Amani kuliko wali nyama vitani.
Sitaki kuleta ushuhuda ila naendelea kuinjoy.