Bora niendelee kuwa single

Bora niendelee kuwa single

Cha ajabu Mke anamwacha mume wake kwa sababu ya michepuko ila yeye anaenda kudate na mume wa mtu tena
Akili zao hawa kenge wanazijua wenyewe 🤣🤣🤣.
Sasa unamuacha mwanaume alafu unaenda kwa mwanaume mwengine kisa eti huyu wa kwanza amekula mbususu nyingine 🤣🤣🤣🤣 sii vichekesho hivho jamani
 
Watu wakiacha kuoana kwa kuendeshwa na nyege, ndoa hazitakua na shida kama kipindi hiki.
Hata zamani shida zilikuwepo ila wazee wetu walikuwa wavumilivu zaidi yetu ndomna walikaa miaka.
 
Karibu kwenye chama la wana..
Ndoa zinatesa wengii sana wachache wametoboa!
 
Zamani kabla ya kuingia ndoani nikiona watu wanaachana nilikuwa najiuliza hivi inawezekanaje mtu amuache mkewe au mumewe waliooana kwa bashasha zote, weee!! Kumbe ulikuwa ni utoto , ukikua utaacha.

Kuna ule wimbo wa darasa unasema " Tembea ujionee Dunia imebeba mengi".

Kweli Kabsaa Dunia imebeba mengi.

Watu hawafanani, hatuwezi kuhukumu kwa ujumla, lakini ukiona amezingua jitoe tu kwa Amani ya nafsi na ya moyo, usiyabebe maumivu kwa miaka mingi , ni hatari kwa afya yako ya akili.

Afadhali ya ugali matembele kwenye Amani kuliko wali nyama vitani.

Sitaki kuleta ushuhuda ila naendelea kuinjoy.
Unainjoy, really?
 
Back
Top Bottom