Bora niendelee kuwa single

Ila ndoa kwa hizi shuhuda za humu usipochanganya na zako unaweza jikuta umeshasubscribe kwenye kile chama.
πŸ˜‚Sehemu ya wengi Ina mengi. Muhimu chukua unayoona yanafaa , shuhuda hazimaanishi watu wasiooane ila usiendelee kuvumilia kwa miaka ukafikia hatua ya kuuana. Ndomna kukawa na mlango wa talaka.

" Kaeni vizuri, au ikibidi kuachana , achaneni kwa wema".
 
Wewe ni me au ke, tujulishe sisi kufa kufaana
 
Nmekuelewa vyema kabisa.
 
Bwana wee mie mpaka nawasiwasi humu tupo na mawakala wa shetani.
Maana ni kulalamika tuu ndani ya ndoa tafikiria hamna jema kwenye hizo ndoa
Nyuzi za kupongeza ndoa ni chache mno na zinatokea baada ya miaka ila za kuponda na za maumivu ndani ya ndoa kila leo zinaibuliwa.
 
kuachana na mke au mme ni udhaifu wa kushindwa kudhibiti madhaifu yako.Ukiolewa au kuoa ishi na nusu uhuru na ukubali hakuna aliyekamilika vinginevyo rudisheni pesa na gharama za harusi kwa waiowachangia. Msitie watu hasara
 
kuachana na mke au mme ni udhaifu wa kushindwa kudhibiti madhaifu yako.Ukiolewa au kuoa ishi na nusu uhuru na ukubali hakuna aliyekamilika vinginevyo rudisheni pesa na gharama za harusi kwa waiowachangia. Msitie watu hasara
Jipe muda matendo ni mwalimu Mzuri.
 
Natafuta mke wa nne sasa hv,hata msemeje naoaaaa
 
Sidhani kama kuna ubaya angalia USA watu wengi hawana ndoa na wapo vizuri sana economically
Kukaa bila ndoa ni kuharibu jamii.. ila ndo Kuna nyakati hakuna namna Kila mmoja lazima aende njia yake.
 
Uzi upo kwa ujumla au Kuna sehemu nimesema alinifanyia hili na lile na lile.

Lengo ni " usiyabebe maumivu ya uvumilivu kwa miaka, akizingua sepa kwa Amani, kwa afya ya moyo , nafsi na akili Yako".
Hukua na sifa ya kuoelewa wewe kama walivyo wanawale wengi leo.
Wewe ni wale wa kupigwa na kuachwa, hukuaa akili za kuolewa.
 
Wakati wewe unamuacha na kuwa single, Kuna mtu kamsubiria na anamuelewa kinyama.
Ndoa ni fumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…