Bora nikacheki life mambele bongo kumenuka masela wangu

Tafuta demu WA kizungu Zanzibar au Arusha mpelekee Moto Wa ukweeee, baada ya hapo, mambele utaiona inanukia Tu mwana
Nitalifanyia kazi wazo lako lengo langu mimi ni kufika mambele
 
Nenda Marekani ukifika ulizia White House ilopo kisha muulizie jamaa anaitwa Donald atakupa kazi
 
Qatar, ukifanikiwa kuingia hapo ni kama chooni hata kama huna haja lazima ujisaidie. Kuna mpunga wa kufa mtu; jamaa zangu wawili wako huko walikwenda kiutaniutani tuu lakini Matusi yao huku Dar kwenye Familia zao TUNAKOMA.!!!

Mimi mwenyewe nikipata chance nataka kwenda Qatar tuu.
 
Ngoja nitangulie nitakuita msela wangu
 
Wazo zuri ila tumia lugha yenye kuwakilisha rika lote. Kuna wengine lugha kama hizi ni vigumu sana kukupa ushauri.
 
Mkuu unaendajeendaje...
Mimi napenda sana kwenda...
Ila issue chanel
 
Wadau nisaidieni bas Mimi napenda kwenda nje ivi...
Issue ni channel..sna ndugu,rafiki wala jamaa huko mbele...ila natamani sana kwenda huko...naendaje wandg..Am seriously mwenye msaada au kma kna Uzi apa upo plain plz naaomba link ili niende mbele
 
Kajaribu maisha popote huwezi toka kimaisha ulipozaliwa ila si tunakomaa hapa hapa fursa kibao tutakuja kutumia huko.Nenda Syria au Libya kakusanye screpa uuze ulaya utatoka fasta.
 
We mtoto nimekua nikifuatilia thread zako na inaonyesha huna heshima kijana, yaani sisi wazee na familia zetu unatuita MASELA!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…