Bora nikacheki life mambele bongo kumenuka masela wangu

Bora nikacheki life mambele bongo kumenuka masela wangu

hivi watu huwa mnatoa wapi ujasiri wa kuwaza kwenda marekani!! ile nchi mimi huwa naiona kama imelaaniwa hivi (ashakum si matusi)
 
Wadau nisaidieni bas Mimi napenda kwenda nje ivi...
Issue ni channel..sna ndugu,rafiki wala jamaa huko mbele...ila natamani sana kwenda huko...naendaje wandg..Am seriously mwenye msaada au kma kna Uzi apa upo plain plz naaomba link ili niende mbele
Wewe tafuta viza tu mambo mengine mbele kwa mbele
 
Kajaribu maisha popote huwezi toka kimaisha ulipozaliwa ila si tunakomaa hapa hapa fursa kibao tutakuja kutumia huko.Nenda Syria au Libya kakusanye screpa uuze ulaya utatoka fasta.
Hilo nalo neno lakin syria mkuu kweli
 
We mtoto nimekua nikifuatilia thread zako na inaonyesha huna heshima kijana, yaani sisi wazee na familia zetu unatuita MASELA!!!!
Pole mzee lakin hata wazee baadhi yao ni masela
 
hivi watu huwa mnatoa wapi ujasiri wa kuwaza kwenda marekani!! ile nchi mimi huwa naiona kama imelaaniwa hivi (ashakum si matusi)
We ndo umeraniwa wenzako warabu wanalilia kwenda marekan marekan we unasema imeraniwa
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu nina mpango wa kutembea mambele kuchek life la uhakika hili life la bongo sasa limekuwa michosho unaumiza kichwa kishenz kupata hela na hela hupati

Mambo yamekuwa siyo mambo haya masela wangu yaan hadi mvua imekua taarifa ya habari kweli mambo yamegoma hadi mvua inatangazwa falu anathaman zaid ya binadamu anatafutwa ni hatari

Bora tu mimi nisepe lakin nina mpango wa kuelekea USA kama sio ULAYA nilikua napenda sana kutimukia nchi za kiarabu lakin nazo saiv ni majanga tupu niombeni masela wangu nifanikishe nyie ndo huwa nawaaminia sana

Nawategemea sana kwa maushauri yenu unaweza tu hata ukanishaur ni nchi gan niende ambayo life lake liko poa na naweka kutengeneza mkwanja fasta lakin lazima nitimuke mazee

Yana umenichekesha, inaonekana wewe wataka ushauri wa nchi ya kwenda, kana kwamba uwezo wa kwenda nchi yeyote unayo? ti ti ti ti! Jamaa mnapovuta bangi zielekezeni ziwasaidie vitu vya msingi na sio unavuta huku unaangalia tamthiliya.
 
Back
Top Bottom