Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

Jamaa ana familia nzuri sana, ndio hivyo tena, dunia na majaribu yake.
Suluhisho la kutokugongewa ni kuoa polygon tu
poliygon si ana kipochi manyoya? Bibilia imesema aziniye na mwanamke hana akili, afanya kitu cha kujiharibia mwenyewe, na ndio kimetokea: Kwa sababu tu ya K;

1. Amepoteza kazi
2. Amepoteza uaminifu katika taifa lake
3.Amepoteza uaminifu kwa mke wake na watoto, yaani kwa watoto status inahama toka baba mzuri, mpaka baba mbaya, hata mwanae akianza tabia chafu hana ujasiri wa kumkemea.

4. Amepoteza undugu, hawezi kuelewana na kaka yake tena so sad et kwa sababu uonekane kidume? useless.

5. Kwa sababu ya vipochi manyoya ameyaweka maisha yake hatarini hata akitoka kisheria vigogo watakula naye sahani moja nje ya system

6. Wanawake aliolala nao wamepata aibu wenye mioyo myepesi wameanza kujitoa roho wenyewe, wenye roho ngumu watafanya revenge, Maana yamkini kila mwanamke alijua yuko peke yake, sasa kuja kushtuka wako 400 mwanaume ataonekana ni mshenzi na alikuwa kwenye misheni maalumu.
 
poliygon si ana kipochi manyoya? Bibilia imesema aziniye na mwanamke hana akili, afanya kitu cha kujiharibia mwenyewe, na ndio kimetokea: Kwa sababu tu ya K;

1. Amepoteza kazi
2. Amepoteza uaminifu katika taifa lake
3.Amepoteza uaminifu kwa mke wake na watoto, yaani kwa watoto status inahama toka baba mzuri, mpaka baba mbaya, hata mwanae akianza tabia chafu hana ujasiri wa kumkemea.

4. Amepoteza undugu, hawezi kuelewana na kaka yake tena so sad et kwa sababu uonekane kidume? useless.

5. Kwa sababu ya vipochi manyoya ameyaweka maisha yake hatarini hata akitoka kisheria vigogo watakula naye sahani moja nje ya system

6. Wanawake aliolala nao wamepata aibu wenye mioyo myepesi wameanza kujitoa roho wenyewe, wenye roho ngumu watafanya revenge, Maana yamkini kila mwanamke alijua yuko peke yake, sasa kuja kushtuka wako 400 mwanaume ataonekana ni mshenzi na alikuwa kwenye misheni maalumu.
Alitakiwa akaishi uhamishoni, kwa mazingira aliyopo ana asilimia chache sana za kubaki hai.
 
poliygon si ana kipochi manyoya? Bibilia imesema aziniye na mwanamke hana akili, afanya kitu cha kujiharibia mwenyewe, na ndio kimetokea: Kwa sababu tu ya K;

1. Amepoteza kazi
2. Amepoteza uaminifu katika taifa lake
3.Amepoteza uaminifu kwa mke wake na watoto, yaani kwa watoto status inahama toka baba mzuri, mpaka baba mbaya, hata mwanae akianza tabia chafu hana ujasiri wa kumkemea.

4. Amepoteza undugu, hawezi kuelewana na kaka yake tena so sad et kwa sababu uonekane kidume? useless.

5. Kwa sababu ya vipochi manyoya ameyaweka maisha yake hatarini hata akitoka kisheria vigogo watakula naye sahani moja nje ya system

6. Wanawake aliolala nao wamepata aibu wenye mioyo myepesi wameanza kujitoa roho wenyewe, wenye roho ngumu watafanya revenge, Maana yamkini kila mwanamke alijua yuko peke yake, sasa kuja kushtuka wako 400 mwanaume ataonekana ni mshenzi na alikuwa kwenye misheni maalumu.
Lakini amekuwa shujaa wa afrika.... P didy wa afrika
 
Lakini amekuwa shujaa wa afrika.... P didy wa afrika
ushujaa usio na nishani? shujaa saizi yuko nyuma ya nondo anajutia, usikute ameshahasiwa, mpaka sasa hivi hata ndugu watapata kigugumizi cha kwenda kumuangalia, pengine hata dhamana wataona haifai kumtolea akae huko kwanza hasira zao zipungue, ni jambo la kijinga kafanya, angekuwa kama king mswat angekuwa shujaa
 
Back
Top Bottom