Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

Kwa mwenye akili wakati huu wa haki sawa darasa la saba ndiyo mpango mzima.

Akisoma sanaaa basi four or six zaidi ya hapo baba jiandae kulipia matibabu ya mgongo ya mkeo muajiriwa maana anavyokunjwa kwenye meza na viti vya office na boss na stuff wenzake akitoboa 45 yrz spinal cord haijaanza kumsumbua niite umbwa.
Utawajua mda ukifika
 
Wa nyumbani utagongewa na Waha wakopesha vyombo na wapaka rangi NB; yanga imetudharirisha leo
Wakina fundi Maiko ndio mademu zao mama wa nyumbani Tena wanawapikia kabisa mkuu! Mungu atuepushe na Janga hili,wa nyumbani anakapikia kajamaa kapete nguvu za kuacha,Tena anampa na matunda pamoja na mazagazaga, watoto wengi wanakuwa wetu majina tuu, biological ni watoto wa fundi Maiko!
 
Dunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani.

Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine niumiza kichwa.

Nikifikiria hizi nyuzi za wanawake 400; naishiwa nguvu kabisa. Bora nioe mama wa nyumbani tu, ataweza kunitunzia heshima na kunisikiliza.

View attachment 3146509
Hivi hadi leo hii haujaoa tu? We kijana unyongwe.
 
Dunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani.

Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine niumiza kichwa.

Nikifikiria hizi nyuzi za wanawake 400; naishiwa nguvu kabisa. Bora nioe mama wa nyumbani tu, ataweza kunitunzia heshima na kunisikiliza.

View attachment 3146509
Bora uolewe tu mkuu, hautapata hizo karaha zote
 
Back
Top Bottom