Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Ndoa ikavunjika?Arusha kuna mke wa mtu juzi kati hapa kaliwa kwenye gari daladala costa, daah watu wanaugwadu, aliyemla ni chalii mdogo tu....
Mume kapata aibu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa ikavunjika?Arusha kuna mke wa mtu juzi kati hapa kaliwa kwenye gari daladala costa, daah watu wanaugwadu, aliyemla ni chalii mdogo tu....
Mume kapata aibu sana.
Wanawake wanaofanya kazi wana ndoto kubwa sana ,wanahitaji usafiri binafsi ,wanahitaji lunch za KFC daily sasa kina BALTAZARY wapo huko kwa kuwatimizia hayo mahitaji.
Ila mwanamke ni sawa tu nakufuga mnyama hapo nyumban😅Kila nikiwaza namna hao wake za wakubwa walivyokuwa wanatoa ushirikiano kwa mshikaji naishiwa nguvu kabisa 😑😑
Nioe mimi, yani utajuta kuchelewa kunijua.....Bado natafuta mwenye sifa za kuitwa mke, kila ninapojaribu ninaangukia pua
kuna wengine ndio wanazidi kuwa wazuri wasipojipamba mkuu wa kazi. sasa tinafanyaje? tushauriane tujue tunakusaidia vipi.Hakuna kujipamba wala kujiremba
Pesa haijifichi, kukosa fedha mke angenyorodoka sana watoto wenyewe umeona wamefuatana kama mapacha!!Mke ana mwili mzuri, watoto wote hao na bado yuko imara
Pole sana. Kuna binti tatizo ni dini ni muislamu, kisifa angekufaa kwa kila kitu.Bado natafuta mwenye sifa za kuitwa mke, kila ninapojaribu ninaangukia pua
Wewe unadhani watalfanya kitu. Jamaa amtokeq familia ya kitajiri na yeye ni tajiri. Watamalizana tu kishkaji.nani wa kumpeleka huko uhamishoni sasa, Kala wake wa vigogo mpaka dada wa raisi, uhamishoni kwake ni pembe nne tu, amefanya jambo la kijinga sana hakufikiri akajua itaendelea kuwa siri
Bro uko wapi sahivi......asiye na tamaa za pesa
Na wa kwako aishie la saba ili akawe mke bora. Sio wa kwako unapeleka shule na apate ajira halafu wenzako wasipeleke shule.Kwa mwenye akili wakati huu wa haki sawa darasa la saba ndiyo mpango mzima.
Akisoma sanaaa basi four or six zaidi ya hapo baba jiandae kulipia matibabu ya mgongo ya mkeo muajiriwa maana anavyokunjwa kwenye meza na viti vya office na boss na stuff wenzake akitoboa 45 yrz spinal cord haijaanza kumsumbua niite umbwa.
Mwambie huyo.Wakina fundi Maiko ndio mademu zao mama wa nyumbani Tena wanawapikia kabisa mkuu! Mungu atuepushe na Janga hili,wa nyumbani anakapikia kajamaa kapete nguvu za kuacha,Tena anampa na matunda pamoja na mazagazaga, watoto wengi wanakuwa wetu majina tuu, biological ni watoto wa fundi Maiko!
hamna ushikaji hapoWewe unadhani watalfanya kitu. Jamaa amtokeq familia ya kitajiri na yeye ni tajiri. Watamalizana tu kishkaji.
Niende wapi tena? 😭😂😂Tena tabibu utakua wewe mwenyewe mxiuuuu hebu kwenda huko
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂 we ni mshenzi ujue nimecheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏾
Poleni wanaume...
Mnapitia wakati mgumu sana Hadi kupelekwa mkose kujiamini Tena.
Wa kuliwa ataliwa tu ata kama anafanana na kingwendu.Unaoa asiyekuwa na mvuto sana
Unatafuta yule ambaye, mpaka mzime taa ndio muweze kuwasilianaWa kuliwa ataliwa tu ata kama anafanana na kingwendu.