Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau na sie bodaboda tunawalava sana wake za watu na ni watamuuuuWa nyumbani tunaliwa na mafund wa ku repair things endapo ziki break hapo nyumbani,na wale wa bill za maziwa nk....hayana mwenyewe mkuu
Ewaaaaa ndoman nkaweka hio nk means ni wengi wanaokula ma goalkeeper 😃Usisahau na sie bodaboda tunawalava sana wake za watu na ni watamuuuu
😂😂Tena tabibu utakua wewe mwenyewe mxiuuuu hebu kwenda hukoUkija na cocaine kichwani nakupeleka kwa sober house nakutibu akili zinakukaa sawa, elewa maneno sober house 🤣
Jamani,basi ngoja niache mkuuUkiwa na mke mfanyakazi,ile ladha ya mke hutoweka,yaani jitu jeuri,kiburi,haliko loyal,ndoa huwa ni aina fulani ya vicoba,yaani ni umoja wa kufuga watu(watoto)
Ni kweli sio akili ya kawaida,huwa inakuwa driven na aina flani ya spirit wa uzinzi,huyu akisha kuingia kila sketi inayokatisha mbele yako unataka uionje,sasa huyu kilichokuwa kinamfanya afanikiwe kila anakopita ni pesa,jaribu kufuatilia hao aliokuwa anatembea nao,lazima utagundua kwa wale ambao walikuwa na ugumu kidogo ametumia hela nyingi sana kuwapata ili lengo lake tu la kulala nao litimie,na si kama alikuwa anawapenda,hiyo ni roho kamili ya uzinifu...Ukifikiria sana, unaweza kudhani si akili ya kawaida
Hakika umenena vyemaWakina fundi Maiko ndio mademu zao mama wa nyumbani Tena wanawapikia kabisa mkuu! Mungu atuepushe na Janga hili,wa nyumbani anakapikia kajamaa kapete nguvu za kuacha,Tena anampa na matunda pamoja na mazagazaga, watoto wengi wanakuwa wetu majina tuu, biological ni watoto wa fundi Maiko!
Duh iweje uliwe wakati asubuhi unachakazwa?Wa nyumbani tunaliwa na mafund wa ku repair things endapo ziki break hapo nyumbani,na wale wa bill za maziwa nk....hayana mwenyewe mkuu
vinahusiana nini.....Duh iweje uliwe wakati asubuhi unachakazwa?
Kuchakatwavinahusiana nini.....
Mke ana mwili mzuri, watoto wote hao na bado yuko imaraView attachment 3146672 Batazali chiboko!
NB: ... binti alijiona kaokota dodo chini ya mbuyu, kumbe kauvagaa mtambo wa kukoboa na kusaga!
😅
Dunia ndio imetufikisha hapaPoleni wanaume...
Mnapitia wakati mgumu sana Hadi kupelekwa mkose kujiamini Tena.
Nyakati hizi, teknolojia inaweka wazi kwa jamiiZamani tulisema siri kuchapiwa ya ndani
Bado natafuta mwenye sifa za kuitwa mke, kila ninapojaribu ninaangukia puaHivi hadi leo hii haujaoa tu? We kijana unyongwe.
Dunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani.
Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine niumiza kichwa.
Nikifikiria hizi nyuzi za wanawake 400; naishiwa nguvu kabisa. Bora nioe mama wa nyumbani tu, ataweza kunitunzia heshima na kunisikiliza.
View attachment 3146509
Ngoja nitafuta lishangazi lenye miaka 60Bora uolewe tu mkuu, hautapata hizo karaha zote