Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

ushujaa usio na nishani? shujaa saizi yuko nyuma ya nondo anajutia, usikute ameshahasiwa, mpaka sasa hivi hata ndugu watapata kigugumizi cha kwenda kumuangalia, pengine hata dhamana wataona haifai kumtolea akae huko kwanza hasira zao zipungue, ni jambo la kijinga kafanya, angekuwa kama king mswat angekuwa shujaa
p diddy mwenyewe anamuogopa baltazar😂

Wakiwekwa sero moja lazima p didy atolewe linda ushindi kwa Afrika
 
Dunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani.

Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine niumiza kichwa.

Nikifikiria hizi nyuzi za wanawake 400; naishiwa nguvu kabisa. Bora nioe mama wa nyumbani tu, ataweza kunitunzia heshima na kunisikiliza.

View attachment 3146509
Umechelewa sana kulijua hili
 
Kupost, share picha za watoto wa jamaa ni ujinga, ukatili na ushamba.

Your life, your choice. Oa mama wa nyumbani ila usiishie hapo mwanao wa kike usimpeleke shule kabisa ili nae aje kuwa mke bora kwa mme wake.
 
Kwa mwenye akili wakati huu wa haki sawa darasa la saba ndiyo mpango mzima.

Akisoma sanaaa basi four or six zaidi ya hapo baba jiandae kulipia matibabu ya mgongo ya mkeo muajiriwa maana anavyokunjwa kwenye meza na viti vya office na boss na stuff wenzake akitoboa 45 yrz spinal cord haijaanza kumsumbua niite umbwa.
 
Dunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani.

Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine niumiza kichwa.

Nikifikiria hizi nyuzi za wanawake 400; naishiwa nguvu kabisa. Bora nioe mama wa nyumbani tu, ataweza kunitunzia heshima na kunisikiliza.

View attachment 3146509
Jidanganye
 
Back
Top Bottom