Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeishia kucheka tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Lakini hao ndio mnawaona wazuri,hapo awe kajichubua mpaka kawa wa njano kama papai,aweke makope mpaka jicho linavimba na makucha kama nsyuka.
Ndo Kisu huyo pambana na huba lako.
hujanidanganya, nitumie mpesa faster ili by ijumaa jioni nipo gethoChukua tax nitalipa
hii hii ucjali itaandika lile jina nililokuambiaga lilePoa ngoja nitume momy si namba ni hii hii tunayowasiliana au nyingine
Kweli kabisa wigi tu uache mzigo duMchagua km si mtmbj
Tafuta type zako.ukipenda cheap utateseka sana. Hope wewe sio team bahili??Hahaa pole sana hizo kwa hizo mbavu kuuma
Unajua mda mwingine unaweza zimia bure mkuu
Same thing nilikua nakiwaza! haiwezekani kabisa uwe unajielewa upate mtu mwenye wig mnuko hivi haya majamaa yanajifunza mapenzi sijui yanabeba mademu wa wap! mwanamke matunzo buana wataendelea kubeba hizo class mnuko zao kama hawajui kujiongeza mfyuu zao.yaani hapa nitaona watu wote na class zao, huwezi kunambia uko na class ya juu then uje uchukue wenye kunuka mawigi, that means hao wanuka mawigi ndo class yako
if not wachukue uwabadilisha wewe kwa kuwawezesha ili wawe wanabadilisha hizo wigi
teh teh
watu mnafikiri mnachamba watu kumbe mnajionyeshe mlivyo
Hujui ukisemacho sisterSame thing nilikua nakiwaza! haiwezekani kabisa uwe unajielewa upate mtu mwenye wig mnuko hivi haya majamaa yanajifunza mapenzi sijui yanabeba mademu wa wap! mwanamke matunzo buana wataendelea kubeba hizo class mnuko zao kama hawajui kujiongeza mfyuu zao.
Sihusiki huko mkuuNamusibiria joseverest aje hapa anieleze uzi wangu kaupeleka wapi
Naomba mnaojua kutag mumutag aje hapa