Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ipo vzrNikiendelea nitawadanganya
Ulimwengu haujampa Tina nafasi ya pili kajifunza kwa jasho, machozi na damuKiaje?
Kuoa/kuolewa hakuwezi kuponya maumivu yeyote, kikubwa hapo tuombe tu Mungu Tina huko kijijini alipoenda asije akawasambazia vijana wa hukoBasi muoe umponye majeraha
Unamkataa kiujanja! Lazima awasambazie tu sababu vijana mkiambiwa mvae ndomu mnagoma isitoshe Tina ni mweupe peeee nani atakubali ndomuKuoa/kuolewa hakuwezi kuponya maumivu yeyote, kikubwa hapo tuombe tu Mungu Tina huko kijijini alipoenda asije akawasambazia vijana wa huko
Watu hawaogopi wanapima Kwa macho mtu anatembea dry, sijawahi kua na mtu ambae sijui hali yake ya afya😂Unamkataa kiujanja! Lazima awasambazie tu sababu vijana mkiambiwa mvae ndomu mnagoma isitoshe Tina ni mweuoe peeee nani atakubali ndomu
Ndio, ilikua around 2018 alikua mwanafunziUshawahi kukutana na mwenye ngoma?
Kwa experience yangu ndogo wale wa kuzaliwa nao hawafiki mbali sana kiumri, mabinti wadogo wakiukwaa hawachukui zaidi ya miaka 10, ila wanaoupata ukubwani wanaishi nao muda mrefu mfano Kuna mwalimu Moja tangu nkiwa darasa la kwanza yy alishakua mgonjwa lakini mpaka Leo yupo Kuna kipindi ataugua sana Kuna kipindi atanawiri sanaItakua kazaliwa nao, zamani nilikua najua huo ugonjwa ni story tu ila kumbe upo kweli.
Kwanini inakua hivyo?Kwa experience yangu ndogo wale wa kuzaliwa nao hawafiki mbali sana kiumri, mabinti wadogo wakiukwaa hawachukui zaidi ya miaka 10, ila wanaoupata ukubwani wanaishi nao muda mrefu mfano Kuna mwalimu Moja tangu nkiwa darasa la kwanza yy alishakua mgonjwa lakini mpaka Leo yupo Kuna kipindi ataugua sana Kuna kipindi atanawiri sana
Binafsi sijui ni kwanini labda wataalamu wa afya watusaidie japo mambo ya uimara wa Kinga, uchumi, uzingatifu wa dose na kukubaliana na hali yaweza changiaKwanini inakua hivyo?
Nakumbuka form 1 kuna binti alikua anakaa day pia mtoro sana afya yake imedhoofika
Kuna siku nikamuuliza mbona unatega sana shule? Akanijibu "naumwa natumia Arvs" nikampa pole. Sasa baadae nilivyokaa mwenyewe nikakumbuka alivyonijibu nikasema Arvs si dawa za ukimwi ila sikumfata kumuuliza tena.
Alikufa tukiwa form 2
Sina hakikaSio kwamba Arvs ina guarantee ya miaka
Sasa hv anaendeleaje and una mawasailiano nae?!Viatu vya Emmy au Tina?