luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Jiandae kisaikolojia maswali yanahitaji saikolojia sana lakini Kama una sababu rasmi ya kuomba Hakuna vikwazo,Ila Kama ni kuchomekea inabidi ujipange,Pia kama unaenda inabidi uwe na invatation ukiwa na invatation inakuwa rahisi mno,kama huna ndio mziki unakujaBwana luambo makiadi wewe ni ndugu yangu najua unauzoefu kidgo na mambo ya kusafiri ..em tupe uzoefu wako namna ya kujibu maswali ya interview wakati kuomba visa..
Dah kibali ki vip mkuu em nifafanulie apo..Njia rahisi kuliko zote ni,Tafuta festival zao ujue zinafanyika lini?,then pata kibali basata au taasisi yoyote inayousiana na sanaa....@#%% the simplist method ya kwenda popote duniani.
festival zozote duniani invitations huwa ni very openly kwa kushiriki ama tourings,hasa nzuri zaidi ni za kimuziki,huku nawewe ukijifanya ni msanii./..inshort njia ya sanaa ni njia nyepesi mno ya kwenda popote pale.Dah kibali ki vip mkuu em nifafanulie apo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eden muhimu kumuona mze..Sema tu ukweli unataka ukamuone hazard na kuthibitisha kama kweli kawakimbia chelsea na kuhamia madrid......
Mimi nataka niende kihalali mkuu..watu kibao wanenda kwa mitumbwi wanaachwa baharini
Kujifanya msanii mkuu ata kuimba enyewe sijui ..basata wakiniambia niimbe nitaanzaje? Hahahafestival zozote duniani invitations huwa ni very openly kwa kushiriki ama tourings,hasa nzuri zaidi ni za kimuziki,huku nawewe ukijifanya ni msanii./..inshort njia ya sanaa ni njia nyepesi mno ya kwenda popote pale.
hizo nchi zimefurika wahamiaji siku hizi mkuu, hata ukienda kihalali maisha nadha ni yatakuwa sio marahisiMimi nataka niende kihalali mkuu..
Huyu ni tapeli tu,Dili Kama hizi hata zikitokea huwa zinafanywa kimya kimya.Italy na Spain kote njaa Kali halafu kuna ubaguz was hatari
Yani ndo niko apa Spain mkuu ..ila sikai sana natafuta shengen visa nikache zangu Canada au Sweden mkuu.hizo nchi zimefurika wahamiaji siku hizi mkuu, hata ukienda kihalali maisha nadha ni yatakuwa sio marahisi
Amna utapeli wowote ..nmesafiri na jamaa wawili ..tuko Spain apa.. ndgu zangu wana familia na mim sikutaka mweny familia..Huyu ni tapeli tu,Dili Kama hizi hata zikitokea huwa zinafanywa kimya kimya.
Ina maana mtoa mada amekosa ndugu hata mmoja wa kumpa hiyo nafasi au hata jirani tu wa kumpa hiyo dili.
Bora Bongo. Italy na Spain hapafai. Mtaishia kuwa mateja kwa sababu ya stress za maisha.Mambo vip wakuu, kwema? Kuna mchongo wa kuzamia Hispania au Italy kusaka maisha (kwa wale wanaopenda kwenda abroad either kusoma, kutafuta kazi..) Hasa Spain ndo uhakika zaidi ..ila changamoto iliyopo ni kwamba pale Spain embassy wanataka atleast mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 30 hivi na mimi nina 25 sasa ..so kama kuna raia Yuko interested mwenye na umri huo anicheki pm nimpe maelekezo nini cha kufanya.
Kama tukifanikiwa hata mwezj ujao yani October tunaeza sepa tu ..hapa bongo jua kali, ajira hakuna mitaji nayo haikui ..wazee wa vitengo wanakaba kinoma ukianzisha ka biz kako hakana ata miezi miwili tiyari washatia timu ..wanataka chao ..
Bora tusepe zetu mbele tukabebe ata box tu fresh..
Nipo siriyaz wakuu wakike na kiume..
Schengen visa na Canada wapi na wapi ? Sweden sawa ila Canada no.Yani ndo niko apa Spain mkuu ..ila sikai sana natafuta shengen visa nikache zangu Canada au Sweden mkuu.
Mkuu huku kuna nafasi nying tu hasa ukiwa na leseni ..kazi za udereva ukosi mkuu..Bora Bongo. Italy na Spain hapafai. Mtaishia kuwa mateja kwa sababu ya stress za maisha.
Sweden ndo napalenga sana...Schengen visa na Canada wapi na wapi ? Sweden sawa ila Canada no.
Sasa kama upo Spain,unashindwa nini kwenda Sweden?Wakati hakuna control kwenye mipaka ndani ya Schengen ?Mkuu huku kuna nafasi nying tu hasa ukiwa na leseni ..kazi za udereva ukosi mkuu..
Mara unasema umeomba visa ubalozi wa Spain Bongo ukaambiwa hadi uwe na 30 yrs. Now unasema upo Spain. Which is which ?Amna utapeli wowote ..nmesafiri na jamaa wawili ..tuko Spain apa.. ndgu zangu wana familia na mim sikutaka mweny familia..