Bora tusepe zetu Hispania & Italy

Bora tusepe zetu Hispania & Italy

Bwana luambo makiadi wewe ni ndugu yangu najua unauzoefu kidgo na mambo ya kusafiri ..em tupe uzoefu wako namna ya kujibu maswali ya interview wakati kuomba visa..
Jiandae kisaikolojia maswali yanahitaji saikolojia sana lakini Kama una sababu rasmi ya kuomba Hakuna vikwazo,Ila Kama ni kuchomekea inabidi ujipange,Pia kama unaenda inabidi uwe na invatation ukiwa na invatation inakuwa rahisi mno,kama huna ndio mziki unakuja
 
festival zozote duniani invitations huwa ni very openly kwa kushiriki ama tourings,hasa nzuri zaidi ni za kimuziki,huku nawewe ukijifanya ni msanii./..inshort njia ya sanaa ni njia nyepesi mno ya kwenda popote pale.
Kujifanya msanii mkuu ata kuimba enyewe sijui ..basata wakiniambia niimbe nitaanzaje? Hahaha
 
Italy na Spain kote njaa Kali halafu kuna ubaguz was hatari
Huyu ni tapeli tu,Dili Kama hizi hata zikitokea huwa zinafanywa kimya kimya.
Ina maana mtoa mada amekosa ndugu hata mmoja wa kumpa hiyo nafasi au hata jirani tu wa kumpa hiyo dili.
 
Huyu ni tapeli tu,Dili Kama hizi hata zikitokea huwa zinafanywa kimya kimya.
Ina maana mtoa mada amekosa ndugu hata mmoja wa kumpa hiyo nafasi au hata jirani tu wa kumpa hiyo dili.
Amna utapeli wowote ..nmesafiri na jamaa wawili ..tuko Spain apa.. ndgu zangu wana familia na mim sikutaka mweny familia..
 
Mambo vip wakuu, kwema? Kuna mchongo wa kuzamia Hispania au Italy kusaka maisha (kwa wale wanaopenda kwenda abroad either kusoma, kutafuta kazi..) Hasa Spain ndo uhakika zaidi ..ila changamoto iliyopo ni kwamba pale Spain embassy wanataka atleast mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 30 hivi na mimi nina 25 sasa ..so kama kuna raia Yuko interested mwenye na umri huo anicheki pm nimpe maelekezo nini cha kufanya.

Kama tukifanikiwa hata mwezj ujao yani October tunaeza sepa tu ..hapa bongo jua kali, ajira hakuna mitaji nayo haikui ..wazee wa vitengo wanakaba kinoma ukianzisha ka biz kako hakana ata miezi miwili tiyari washatia timu ..wanataka chao ..

Bora tusepe zetu mbele tukabebe ata box tu fresh..

Nipo siriyaz wakuu wakike na kiume..
Bora Bongo. Italy na Spain hapafai. Mtaishia kuwa mateja kwa sababu ya stress za maisha.
 
Amna utapeli wowote ..nmesafiri na jamaa wawili ..tuko Spain apa.. ndgu zangu wana familia na mim sikutaka mweny familia..
Mara unasema umeomba visa ubalozi wa Spain Bongo ukaambiwa hadi uwe na 30 yrs. Now unasema upo Spain. Which is which ?
 
Back
Top Bottom