Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

WEll said
 
Yap kuna masuala mengine kama kubet, ulevi n.k.. lakini hili ni jukwaa la mahusiano ndio maana tuna-concentrate zaidi kwenye angle ya mahusiano
Nilimaanisha ujinga binafsi ndo unaweza kukufanya maskini coz pesa wanazohitaji wanawake kwetu ni kidogo sana ambazo wala hazifai kua kisingizio cha mtu kuishiwa.
 
Umepangua hoja kwa ustadi mkubwa
 
Mh embu fafanua.
90% ya wafanya biashara wanahudumia rundo la wanawake bt daily mambo yanaenda.

Nadhani kinachoweza kufilisi kirahisi ni mikopo, kamari na ulevi wa sifa bt wanawake tunawasingizia bure.
 
Ila wanawake Mungu anawaona ,kuna jiran yetu mmoja enzi hizo wakati tunaishi oysterbay,alihama kwake oysterbay na kwenda kuishi msasani na kuacha familia

Omba tu usikamatwe na mwanamke
Ni ujinga tu, wala sio suala la kuomba
 
90% ya wafanya biashara wanahudumia rundo la wanawake bt daily mambo yanaenda.

Nadhani kinachoweza kufilisi kirahisi ni mikopo, kamari na ulevi wa sifa bt wanawake tunawasingizia bure.
Hao wafanyabiashara walianza walijijenga kwanza kupitia nidhamu ya hela ndio wakaanza kuhudumia wanawake. Sasa wewe na bela yako ya papatu papatu jaribu kuwageza.
 
Nilimaanisha ujinga binafsi ndo unaweza kukufanya maskini coz pesa wanazohitaji wanawake kwetu ni kidogo sana ambazo wala hazifai kua kisingizio cha mtu kuishiwa.
KWanini anahitaji pesa yako? Ni mtoto yatima au mlemavu asieweza kufanya kazi?
 
Hao wafanyabiashara walianza walijijenga kwanza kupitia nidhamu ya hela ndio wakaanza kuhudumia wanawake. Sasa wewe na bela yako ya papatu papatu jaribu kuwageza.
Ndio maana nikasena ujinga binafsi ndo unaweza kukufilisi na sio wanawake coz watu smart hufanya yaliyo ndani ya uwezo wao.
 
Linapokuja suala la mahusiano wanaume ni provider, hivo unapowahitaji wanawake pia ujue unajukum la kuprovide.
Kwanini uwe provider kwa mwanamke ambae ana access zote za kutafuta hela kama wewe?, jukumu la baba ake ni lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…