Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Ccm huwa wananikera sana wanavyoiba kura ila washinde uchaguzi LAKINI nakuomba gombea uongozi pale NAKATAA NDOA nitaiba kura kwa ajili Yako.
 
Kwanini uwe provider kwa mwanamke ambae ana access zote za kutafuta hela kama wewe?, jukumu la baba ake ni lipi?
Boss

Twende mbele na kurudi huwezi kabisa kukwepa kumpa hela mwanamke hata kwa kiasi fulani,hiyo iko hivyo,sema usitumie sana kupitiliza

Lakini ukisema eti huwezi kuprovide hapo hakuna uhalisia utakuwa unawachekesha watu wazima wenzako
 
Boss

Twende mbele na kurudi huwezi kabisa kukwepa kumpa hela mwanamke hata kwa kiasi fulani,hiyo iko hivyo,sema usitumie sana kupitiliza

Lakini ukisema eti huwezi kuprovide hapo hakuna uhalisia utakuwa unawachekesha watu wazima wenzako
mahusiano yenu yataenda kwa namna ambavyo ulimpata. Ukimpata mwanamke kibiashara na mahusiano yenu yataenda kibiashara.

Kwaiyo kuwezekana au kutowezekana kutatokana na namna wewe mwenyewe umefanya vetting yako pale mwanzo kabisa
 
mahusiano yenu yataenda kwa namna ambavyo ulimpata. Ukimpata mwanamke kibiashara na mahusiano yenu yataenda kibiashara.

Kwaiyo kuwezekana au kutowezekana kutatokana na namna wewe mwenyewe umefanya vetting yako pale mwanzo kabisa
Boss

Si nia yangu kubishana na wewe lkn huwezi kutudanganya watu wazima wenzako kwamba eti huwezi kuprovide kabisa kwa mwanamke huo ni uongo period
 
Boss

Si nia yangu kubishana na wewe lkn huwezi kutudanganya watu wazima wenzako kwamba eti huwezi kuprovide kabisa kwa mwanamke huo ni uongo period
Kati ya mimi na wewe ni nani anaebishana? Hapo juu nimekuuliza swali rahisi kabisa, kwanini uwe provider kwa mwanamke ambae ana access zote za kutafuta hela, umeshindwa kujibu.

Umejificha kwenye kichaka cha kutoa hela because you don't have game.
 
mahusiano yenu yataenda kwa namna ambavyo ulimpata. Ukimpata mwanamke kibiashara na mahusiano yenu yataenda kibiashara.

Kwaiyo kuwezekana au kutowezekana kutatokana na namna wewe mwenyewe umefanya vetting yako pale mwanzo kabisa
Kutompa kabisa hela mwanamke hiyo haiwezekani kabisa na hapo hayawezi kuwa ni mahusiano, the way unavyomudumia ndio unapata mamlaka ya kumcontrol labda useme uhumudumie kulingana na uwezo wako hapo nitakuunga au unasemaje Etugrul Bey
 
Kati ya mimi na wewe ni nani anaebishana? Hapo juu nimekuuliza swali rahisi kabisa, kwanini uwe provider kwa mwanamke ambae ana access zote za kutafuta hela, umeshindwa kujibu.

Umejificha kwenye kichaka cha kutoa hela because you don't have game.
Naona nikuache unaleta utoto kwenye mambo serious

Asante
 
Kutompa kabisa hela mwanamke hiyo haiwezekani kabisa na hapo hayawezi kuwa ni mahusiano, the way unavyomudumia ndio unapata mamlaka ya kumcontrol labda useme uhumudumie kulingana na uwezo wako hapo nitakuunga au unasemaje Etugrul Bey
Upo sahihi kabisa boss
Hata mwanamke ukimhudumua anahisi unampenda,na hali halisi iko hivyo mwanaume ataprovide kwa mwanamke

Ata jogoo tu smtm utamuoana anaona chakula anamuita tetea wake,hata ndege wa kiume wanapendwa kwa kutengeneza kiota kizur,hata simba atamiliki majike mengi kwa utawala wake

Kwa kifupi lazima kuwe na namna fulani ya security kwa jinsia ya kike,yaweza kuwa ulinzi,hela,mamlaka na kadhalika
 
Kutompa kabisa hela mwanamke hiyo haiwezekani kabisa na hapo hayawezi kuwa ni mahusiano, the way unavyomudumia ndio unapata mamlaka ya kumcontrol labda useme uhumudumie kulingana na uwezo wako hapo nitakuunga au unasemaje Etugrul Bey
Upo sahihi kabisa boss
Hata mwanamke ukimhudumua anahisi unampenda,na halisi iko mwanaume ataprovide kwa mwanamke

Ata jogoo tu smtm utamuoana anaona chakula anamuita tetea wake,hata ndege wa kiume wanapendwa kwa kutengeneza kiota kizur,hata simba atamiliki majike mengi kwa utawala wake

Kwa kifupi lazima kuwe na namna fulani ya security kwa jinsia ya kike,yaweza kuwa ulinzi,hela,mamlaka na kadhali
Next time ukiingia kwenye mjadala akikisha una hoja za utetezi wako sio unakuja na delutional stereotype tu. This is home home of great thinkers
Sawa boss chukua medali wewe
 
Upo sahihi kabisa boss
Hata mwanamke ukimhudumua anahisi unampenda,na hali halisi iko hivyo mwanaume ataprovide kwa mwanamke

Ata jogoo tu smtm utamuoana anaona chakula anamuita tetea wake,hata ndege wa kiume wanapendwa kwa kutengeneza kiota kizur,hata simba atamiliki majike mengi kwa utawala wake

Kwa kifupi lazima kuwe na namna fulani ya security kwa jinsia ya kike,yaweza kuwa ulinzi,hela,mamlaka na kadhalika
Security haitolewi kwa sababu wewe ni mwanaume na yeye ni mwanamke lazima kuwe na conditions. Jinsia ya kike sio ulemavu.
 
Security haitolewi kwa sababu wewe ni mwanaume na yeye ni mwanamke lazima kuwe na conditions. Jinsia ya kike sio ulemavu.
Hivi unajua kinachokupa mamlaka ya kumtawala mwanamke ni nini?

Ni usimamizi juu yake,kumhudumia,kumuongoza na kuhakikisha upo pale kwa ajili yake

Na labda nikufahamishe kitu kimoja ,mwanamke hajaumbwa kuhudumia bali kuhudumiwa,ukilijua hili nadhan itakusaidia kidogo

Utaeleweka endapo utasema mwanamke nae achangie kidogo baadhi ya mambo lkn huwezi kukwepa kumhudumia mwanamke kabisa,ni kujidanganya
 
Mwanaume ambae una mamlaka na hela yako utakua na mamlaka na maisha yako pia. Wanawake watakuita mbahili kwa sababu umekataa kuwamwagia hela lakini nakuambia ukweli, wanawake hao hao wanawaheshimu wanaume ambao wamejipata kupitia nidhamu ya hela.

Mwanaume ambae unatapanya pesa ukifikiria iyo ndio njia ya kupendwa utaishia kutumika na kuwa masikini. Ilinde hela yako, hela yako ndio ndugu, jamaa, mpenzi na rafiki wa kweli hapa duniani

Wanawake watakuweka majaribuni, watakuita mbahili, watakuona mtu cheap, watakuambia "tafuta hela". Usikubali kuingia kwenye mtego wao, they are trying to bully you because you are smart enough not to fall for their tricks.

Sikilizeni vijana, ngono haina maajabu kama ambavyo mnaitukuza. Sex is not worth striving for, quiting your plans for, go broke for or making your life miserable for. Stop competing against other men over this sex thing, start competing with yourself not to remain in the same level every year.

Thamani yako haiwezi kupatikana kwa kutapanya hela kwa mwanamke mjinga anaefikiri ana haki ya kupewa hela za bure kwa sababu tu yeye ni mwanamke, thamani yako itapatikana kwa kuwa na nidhamu ya hela na kuzifanya hela zako zikutumikie wewe mwenyewe.

Acha kuwapa hela wanawake wakati wewe mwenyewe bado hauna uhuru wa kifedha. Familia yako pia inahitaji hela, ni bora izo hela zikazunguke kwenye familia yako. Mwanamke ana nguvu na akili timamu, ana miguu miwili, mikono miwili na masaa 24 ya siku kama wewe. Hakuna ambacho kinamzuia kufanya kazi apate hela yake mwenyewe.

Wanawake sio wenzako. Mwanamke anaweza asiwe msomi, asiwe na ujuzi, awe masikini, asiwe na chochote cha kumpa mafanikio na bado akatoka kimaisha kupitia njia mbili tu. Moja ni kukutana na mwanaume ambae ameshajipata, mbili ni kutumia mwili wake kupata anachokitaka.

Lakini wewe mwanaume hauwezi kwenda na kanuni iyo. Mafanikio yako mwanaume ni mchakato wa nidhamu, muda, vikwazo na juhudi.

Uyo mwanamke ambae unaamini anahitaji msaada wako, anahitaji kuhudumiwa na wewe tambua kwamba ana uwezekano mkubwa zaidi wa kufanikiwa kimaisha kuliko wewe unaempa hela na

Mwanamke uyo atakapokutana na mwanaume atakaemwekea mezani dau kubwa kuliko analolipata kutoka kwako atakuacha bila kujiuliza hata mara moja. Ukipoteza muda wako kuwekeza kwake hela ambazo ulitakiwa kuwekeza kwa ajiri yako mwenyewe utaishia kuangamiza mustakabali wako.

Nipo hapa kufungua code ili uitoe akili nje ya matrix na kuuona ukweli. Ukiamua kuelewa au kukaza shingo huo ni uamuzi wako.
Sahihi Kabisa, ila kuna wengine wanapoteza pesa zao kwenye pombe na Siyo wanawake, wengine kula, mwengine kununua vitu vya gharama etc.
 
Back
Top Bottom