Bora usome Advance kwanza ukienda Diploma utasoma muda wowote

Bora usome Advance kwanza ukienda Diploma utasoma muda wowote

Sasa mtu aliyemaliza form 6 akija kuomba kazi kwenye kampuni yangu nimuajiri kwenye nini? labda mesenja wa kupeleka barua na vifurushi.
Wafanya kazi wangu wamesoma ufundi veta kuna welders 2 , Lather 2 na Mimi mwenyewe nina mechanical eng degree, kazi yangu ni quality control na logistic ya material and resources.
Wafanyakazi wangu wakubwa ni hao wanne, na welders siku hizi wanafundishwa CAD drawing application yani anaweza kumsikiliza mteja anataka nini, halafu anachora kwa CAD, ukikubalika, anaanza kazi, ya kuchomelea mwenyewe mpaka mzigo unakamilika, pia na wale wa lathe machine wanachonga vipuri.
Sasa wewe wa form 6 utafiti wapi wakati hata kutoa mchoro wa CAD huwezi, labda kidogo ingekusaidia kupata kazi.
 
Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri Mm naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Kwenda form six ni kupotez muda kwa kwa maisha ya sasa
 
Sasa mtu aliyemaliza form 6 akija kuomba kazi kwenye kampuni yangu nimuajiri kwenye nini? labda mesenja wa kupeleka barua na vifurushi.
Wafanya kazi wangu wamesoma ufundi veta kuna welders 2 , Lather 2 na Mimi mwenyewe nina mechanical eng degree, kazi yangu ni quality control na logistic ya material and resources.
Wafanyakazi wangu wakubwa ni hao wanne, na welders siku hizi wanafundishwa CAD drawing application yani anaweza kumsikiliza mteja anataka nini, halafu anachora kwa CAD, ukikubalika, anaanza kazi, ya kuchomelea mwenyewe mpaka mzigo unakamilika, pia na wale wa lathe machine wanachonga vipuri.
Sasa wewe wa form 6 utafiti wapi wakati hata kutoa mchoro wa CAD huwezi, labda kidogo ingekusaidia kupata kazi.
😅, achana nae huyo.
 
Mimi nimepitia advance (PCM) lakini siwezi kumshauri mtu apitie huko, labda kama anahitaji sifa na kupoteza muda. Mimi nilipita huko kwa sababu sikuwa na taarifa sahihi, na pia nilishuhudia wengi ambao ndoto zao za elimu ya juu zilizimwa kwa sababu ya ubovu wa matokeo yao ya A level
 
Sasa mtu aliyemaliza form 6 akija kuomba kazi kwenye kampuni yangu nimuajiri kwenye nini? labda mesenja wa kupeleka barua na vifurushi.
Wafanya kazi wangu wamesoma ufundi veta kuna welders 2 , Lather 2 na Mimi mwenyewe nina mechanical eng degree, kazi yangu ni quality control na logistic ya material and resources.
Wafanyakazi wangu wakubwa ni hao wanne, na welders siku hizi wanafundishwa CAD drawing application yani anaweza kumsikiliza mteja anataka nini, halafu anachora kwa CAD, ukikubalika, anaanza kazi, ya kuchomelea mwenyewe mpaka mzigo unakamilika, pia na wale wa lathe machine wanachonga vipuri.
Sasa wewe wa form 6 utafiti wapi wakati hata kutoa mchoro wa CAD huwezi, labda kidogo ingekusaidia kupata kazi.
Form six akiamua anavipata hivyo vyote tena Kwa mdaa mchache sana na anaweza akawa na multiskill Sasa hao ma welder zidhani kama Wana unabavu huo zaidi ya kuishia kuumwa macho
 
Mimi nimepitia advance (PCM) lakini siwezi kumshauri mtu apitie huko, labda kama anahitaji sifa na kupoteza muda. Mimi nilipita huko kwa sababu sikuwa na taarifa sahihi, na pia nilishuhudia wengi ambao ndoto zao za elimu ya juu zilizimwa kwa sababu ya ubovu wa matokeo yao ya A level
Bob labda ulikuwa unakariri. Ila Kwangu mm naona (PCM) ilinifumbua macho aisee
 
Ndio ukweli mkuu Kwa mtu Aliesoma physics hizo sijui welding, electrical, mechanical hizo zote ni application na huo ndio ukweli
Application ndio wewe, ukitoka form 6 hujui chochote kinachondelea iwe engineering au accounting
Unadhani kazini mteja atakata mchongee au umfingie mfumo wa kirchoff law au upange makabati end of year tax
Twende kwenye fani yangu engineering, naona unaongelea electrical halafu baadae tutaenda kwenye mechanical, hapa ni kikazi tu
Mteja anataka kufungiwa Three phase motor iendeshe mtambo unaohitaji umeme mwingi (kwanini?) katika kuanza mzunguko na baadae ikisha changaya ibadilishe na kutumia umeme wa kawaida , au vice versa yaani iianze na umeme mdogo ikichanganya iunge kwenye umeme mkubwa(yaani drawing more currents) niifunge kwa mtindo upi na kutumia vifaa gani ?
 
Mkuu nimekuchallenge tu. Hivi inamaana kweli Yale mambo ya sijui

Electricity, electromagnetism, electronics, telecommunication, modern physics, mechanics, heat

Kwenye kemia. Sijui organic, inorganic, physical chemistry

Yote haya hayana maana na nikupoteza mda au ni sisi ndo tunashindwa kuyatumia

Hivi wote wanaotengeneza vitu si waana apply haya mambo hivi yanakuwaje hayana maana yaanakuwaje kuwa ni kupoteza muda aisee nashandi kuwaelewa

Mkuu just rethink
 
Hakuna ukweli wowote, namjua aliyetoka form 4 akaingia IFM, in graduation alikuwa best student overall, sasa ni big time chartered accountant in London
Unamzungumzia nani Mkuu?! Shailan Chudasama yule muhindi alimaliza Bachelor ya Tax akawa best student au?!
 
Application ndio wewe, ukitoka form 6 hujui chochote kinachondelea iwe engineering au accounting
Unadhani kazini mteja atakata mchongee au umfingie mfumo wa kirchoff law au upange makabati end of year tax
Twende kwenye fani yangu engineering, naona unaongelea electrical halafu baadae tutaenda kwenye mechanical, hapa ni kikazi tu
Mteja anataka kufungiwa Three phase motor iendeshe mtambo unaohitaji umeme mwingi (kwanini?) katika kuanza mzunguko na baadae ikisha changaya ibadilishe na kutumia umeme wa kawaida , au vice versa yaani iianze na umeme mdogo ikichanganya iunge kwenye umeme mkubwa(yaani drawing more currents) niifunge kwa mtindo upi na kutumia vifaa gani ?
Sasa msomi wa form six pcm atashindwaje kujifunza mambo ya star- delta connection na huko YouTube na pdf na huko mitaani. Na umchukue labda fundi welder na umwambie ayapate hayo Maarifa ya pcm mtaani afu aweze kuhama au kuwa na fani tofauti tofauti
 
Asilimia kubwa wanaonzia Diploma Ndio wanafanikiwa kufika PHD na kuwa walimu vyuo vikuu

Na pia Soko la ajira linafavour sana level ya Diploma

Fika form si yako ya PCB ujifananishe nayo na mwenzako ambae Ana dip ya Clinical Officer
 
Asilimia kubwa wanaonzia Diploma Ndio wanafanikiwa kufika PHD na kuwa walimu vyuo vikuu

Na pia Soko la ajira linafavour sana level ya Diploma

Fika form si yako ya PCB ujifananishe nayo na mwenzako ambae Ana dip ya Clinical Officer
Ajira zeyewenye ziko wapi
 
Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri.

Mimi naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Sina uhakika na ulisemalo! Uzoefu unaonesha tofauti
 
Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri.

Mimi naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Wewe ni T.O wa mwaka gani....?
 
Back
Top Bottom