jeneralikevin
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 347
- 231
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana unasafari ndefu sana. Maliza kwanza shuleForm six akiamua anavipata hivyo vyote tena Kwa mdaa mchache sana na anaweza akawa na multiskill Sasa hao ma welder zidhani kama Wana unabavu huo zaidi ya kuishia kuumwa macho
Wote washamba wewe ambaye hukuwa unakariri umefanya gunduzi gani mpaka Leo hii?Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri.
Mimi naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Bora umewahi kabisaa kumwambiaWe mshamba kweli
Mungu akusamehe kwa Maana hujui ulisemaloUwe umepita form four au umepita form six, kwa upande wa Africa wote ni vilaza tu.
Kwa mtu ambae hamind kusoma sio muhimu kama mimi hapaForm six muhimu Sana .
Kabisa hapa ndio pakukaziakiuhalisia elimu ya kitabu sio kwa ajili ya kila mtu.
A level ni kwa wenye akili tyuu, hawa wwngine haiwahusuu.Mimi nimepitia advance (PCM) lakini siwezi kumshauri mtu apitie huko, labda kama anahitaji sifa na kupoteza muda. Mimi nilipita huko kwa sababu sikuwa na taarifa sahihi, na pia nilishuhudia wengi ambao ndoto zao za elimu ya juu zilizimwa kwa sababu ya ubovu wa matokeo yao ya A level
Akili zipi? au kwenda kukariri organic chemistry ndio akili?A level ni kwa wenye akili tyuu, hawa wwngine haiwahusuu.
Mbona wengine hawawezi na wanakimbia? Advance ni kwa wenye akili tyuuAkili zipi? au kwenda kukariri organic chemistry ndio akili?
Wahi MirembeForm six akiamua anavipata hivyo vyote tena Kwa mdaa mchache sana na anaweza akawa na multiskill Sasa hao ma welder zidhani kama Wana unabavu huo zaidi ya kuishia kuumwa macho
Kwanza kabisa Chemistry nilikua siipendi naturally ikifuatiwa na biology, pili kwenye field yangu sijawahi kukutana na changamoto inayohitaji nitumie concept za chemistry, Shule zenyewe ndio hizi asante kayumba Practical mnafanya maramoja kwa mwezi then siku ya pepa la mock/taifa mnamuhonga mwalimu pesa awape maswali ya Practical??!! huko kama sio kupoteza muda ni nini??Mkuu nimekuchallenge tu. Hivi inamaana kweli Yale mambo ya sijui
Electricity, electromagnetism, electronics, telecommunication, modern physics, mechanics, heat
Kwenye kemia. Sijui organic, inorganic, physical chemistry
Yote haya hayana maana na nikupoteza mda au ni sisi ndo tunashindwa kuyatumia
Hivi wote wanaotengeneza vitu si waana apply haya mambo hivi yanakuwaje hayana maana yaanakuwaje kuwa ni kupoteza muda aisee nashandi kuwaelewa
Mkuu just rethink
Ok Sawa, walionda advance wana akili sanaMbona wengine hawawezi na wanakimbia? Advance ni kwa wenye akili tyuu
Ndo maana ake.Ok Sawa, walionda advance wana akili sana
Akijibu nitagApplication ndio wewe, ukitoka form 6 hujui chochote kinachondelea iwe engineering au accounting
Unadhani kazini mteja atakata mchongee au umfingie mfumo wa kirchoff law au upange makabati end of year tax
Twende kwenye fani yangu engineering, naona unaongelea electrical halafu baadae tutaenda kwenye mechanical, hapa ni kikazi tu
Mteja anataka kufungiwa Three phase motor iendeshe mtambo unaohitaji umeme mwingi (kwanini?) katika kuanza mzunguko na baadae ikisha changaya ibadilishe na kutumia umeme wa kawaida , au vice versa yaani iianze na umeme mdogo ikichanganya iunge kwenye umeme mkubwa(yaani drawing more currents) niifunge kwa mtindo upi na kutumia vifaa gani ?
Uelewa wako ni mdogo, kumbe sjakosea kukuita mshamba.Washamba ni diploma wenzio ambao tulikuwa tunawafundisha na walikua wanaangaliziana kidogo