Bora ya George Davie

Bora ya George Davie

Ubalikiwe sana mtumish TAG ni hatari sana Kuna vijana wana nguvu za kiroho mpaka unaogopa, wanamjua MUNGU na MUNGU anawajua

Lakin usiwadharau Tanzania CATHOLIC wako vizur ile mbaya au kwakuwa una waona wako wengi ndo maana huna iman nao
labda wale karithmatiki katoliki wanamafundisho ya kipentekoste, wanashusha mapambio, wanaabudu kipentekoste ila sijui kama wanamkiri roho mtakatifu na kazi zake
 
labda wale karithmatiki katoliki wanamafundisho ya kipentekoste, wanashusha mapambio, wanaabudu kipentekoste ila sijui kama wanamkiri roho mtakatifu na kazi zake
Kwahiyo MORAVIAN hawa mkiri roho mtakatifu na kazi zake

Kwahiyo kumbe wewe kipimo cha kusali ni kupiga kelele?
 
hapo kanisa la kusali ni TAG tu, hayo mengine ni abrakadabra tu, katholic tanzania ndio hamna kitu. watu wanataka makanisa ya kuwajenga kiroho wakue na sio makanisa yenye mafundisho yaleyale kila mwaka. kwa manabii ndio utopolo mtupu hawafundishi kuukulia wokovu
Jifunze kuheshimu imani za wengine utabalikiwa.
 
Kwahiyo MORAVIAN hawa mkiri roho mtakatifu na kazi zake

Kwahiyo kumbe wewe kipimo cha kusali ni kupiga kelele?
kelele gani? Moravian, aic, kkkt, anglican hao ni wamoja mafundisho yao yanafanana na wavaa majoho viongozi wao wawapo madhabahuni. Hao ndio CCT ukisikia, ndio umoja wao
 
Chakula cha Mungu ni sala, na chakula cha binadamu ni hela (sadaka); mtu anayehimiza sana kutoa jua anapambania pato lake.
 
Mwongo. Kanisani hakuna kodi, kanisani hakuna audit, kanisani hakuna kusoma mapato na matumizi!
Pale kwa Mwaposa nani anasoma mapato na matumizi!

Kanisa ni free lunch aisee. Tena makanisa siku hizi wenye makanisa hawaubiri, wanaalika wahubiri wengine wao wanakuwa wenyeji tuu, mwishoni wanagawana sadaka.
Kweli pesa ya bure, sasa anzisha na wewe upige pesa
 
Naanzisha chechi jameni. Fikiria una watu 500 wanakupa buku buku kila siku!
hao watu 500 unawatoa wapi? kuna Pasta ana struggle mwaka wa tatu huu anasali yeye na familia yake na familia ya jirani
 
Back
Top Bottom