Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Mpwa ahadi ndiyo agano la upendo wa aina yoyote. Wana wamisr waliahidiwa kanani. Mpe muda mpwaUncle, ndugu yako ana ahadi kama mwanasiasa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa ahadi ndiyo agano la upendo wa aina yoyote. Wana wamisr waliahidiwa kanani. Mpe muda mpwaUncle, ndugu yako ana ahadi kama mwanasiasa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mmh not to zat extentMpwa ahadi ndiyo agano la upendo wa aina yoyote. Wana wamisr waliahidiwa kanani. Mpe muda mpwa
Sijawahi kutilia shaka kwenye neno la bwana mpwa.. ila hii sentensi yako leo mmhMmh not to zat extent
Ndo hivyo uncle, uchumba sugu mmhSijawahi kutilia shaka kwenye neno la bwana mpwa.. ila hii sentensi yako leo mmh
Ngoja nijaribu kutumia njia shirikishi aje akuchukue mpwa akishindwa basi akuteke mpwa.Ndo hivyo uncle, uchumba sugu mmh
Bro unaongea madini sana...Mpwa ahadi ndiyo agano la upendo wa aina yoyote. Wana wamisr waliahidiwa kanani. Mpe muda mpwa
Do not give up on meMmh not to zat extent
mambo yetu hayawiNdo hivyo uncle, uchumba sugu mmh
unajua uoga nilionaoMmh. ....
Do not give up on me
PUT A RING ON ITmambo yetu hayawi
hivi hadharani,
unajua uoga nilionao
ni kukupoteza tu...
Khaaa mama chaunabe huyu. Kwa kweli ahadi hewa Sitaki, mtu mwenyewe kigagula hivi khaaWera weraaaaaaa!!!
Benny usiniangushe tafadhali.
Kigagula!!! Hebu mtake radhi mkwe wangu, kamkigwagulia nani?Khaaa mama chaunabe huyu. Kwa kweli ahadi hewa Sitaki, mtu mwenyewe kigagula hivi khaa
Mimi ndo bibi kigagula hahaKigagula!!! Hebu mtake radhi mkwe wangu, kamkigwagulia nani?
Yeahh chagua sikuPUT A RING ON IT
Wacha maneno, fanya kweliYeahh chagua siku
au tulia nikusuprise...
Uache maneno sasa kama sirikali ya nyinyiemu, wakate ngebe ukweli ukweli.wale wavimba macho
wanaomnyemlea
nawakata ngebe
lala usingizi mnonoWacha maneno, fanya kweli
Kweli, maisha vipiUache maneno sasa kama sirikali ya nyinyiemu, wakate ngebe ukweli ukweli.