Inaama boss Ruge alikuwa amesha toa na mahari??? Haahahhaha.... This is a wonderful thing I have never seen...Unajua nyie wanaume mnajua sana kutumanipulate? Sasa Zama baada ya mtoto wa kwanza boss akatangaza nia kwa kulipa mahari ila bado boss akawa anachelewesha ndoa. Wanawake wengi tunadanganywa kwa style hii ya pete na mahari halafu ukijashtuka umri umeenda unabaki kukaa kwenye relationship isiyo endelea ila Zama kachukua chake mapema nimempongeza kwa hilo.
Nini kutoa mahari na alishasilimu kabisaInaama boss Ruge alikuwa amesha toa na mahari??? Haahahhaha.... This is a wonderful thing I have never seen...
Hapo ni sawa na kuweka pesa Fixed Deposits Accaunt.....
Ni kweli sema modo sana na ndio shida dah! I wish she kudu be like KajalaHana kazi ila ana biashara... changamki fursa maana mzuri kweli yule dada
Fetty si modo bwana.. ana tunyama twa kushikaNi kweli sema modo sana na ndio shida dah!
Mmh bas labda nilimuangalia vibaya, au pic ya zamaniFetty si modo bwana.. ana tunyama twa kushika
Ee amejua kujiongeza ameona hapa hakuna kinachoendelea akaona apite zake hivi ana akili sana yule dada kwanza ana damu ya kizungu basi tu...
Hii fasihi nimeipenda sanaNdio hivyo kama naona VIH inavyowauaaa
Unasema hivo akae mwaka nzima VIP tamaa zake za kimwili angefanyeje?,Na huyo Boss wake angemuoa lini miaka inaenda tuAngebaki tu alee watoto wake na aliyezaa naye!
Yani udanganyweeeee...usijielewe,
Uzalishwe wa kwanza..bado uwe hujajielewa,
wa pili...ndo uje kujielewa!??
Only time will tell...
Angekuwa kaachana na Ruge kama mwaka hivi au kaachana tu kaamua kubaki mwenyewe ningemwita strong woman pia kwa hili...nachelea kumsifu kwanza...TIME!!!
daudi unatuangusha bana, tunaficha kwene majani watoto wasioneRuge amemukukosea nini.
I agreeMbona yule Boss Many ndio kwanza kavuta kitu kibichi...kuna dhambi gani Msela akasubiri muda muafaka naye akavuta jiko lake? mbona bado mapema tu?
Alafu hakunaga kitu kinaitwa "kuchezea"....hao ni binadamu wenye akili zao timamu sio Wanasesere, sasa wanachezewa vipi?...nao huingia shambani kuvuna wakiwa na akili zao timamu ati...ni win win situation.
Unajua hili jukwaa ni la nn mkuu?unataka aongelewe naniHivi Mnapenda sana kumwongelea Ruge. Mmbona mtu mwenyewe kama hana habari..
ana maanisha nandyMkuu acha mafumbo basiii ....fafanua
binti embe ni fina mango bwana makatuni ni masudi kipanya.....leo hii fina mango kaolewa na mzungu bwana makatuni bado yupoyupo tu kaamua kulamba matapishi yakeMara nyingi vijana wengi huiga mifano mizuri ya mabosi wao. Bosi huyu sasa ana umri wa miaka 47 licha ya kuonekana kama mti mkavu.
Katika umri huo hana mpango wa kuoa bali ku hang out na mabinti tofauti. Alianza kula wafanyakazi wake kama bint Embe, bint aliamini angefunga ndoa na bosi huyo kabla ya kumfukuza kazi pamoja na kijana makatuni.
Bosi huyo kaendelea kuchafua kwa kumzalisha mtumishi wake bint Mstimu watoto wawili.
My take: Najua kuwa ni maisha yake binafsi lakini unatuumiza unapowazini Dada zetu na kuwatupa, umempotezea muda sana bint Embe.
Kama wewe hujaolewa changamkia hiyo fursa!Mara nyingi vijana wengi huiga mifano mizuri ya mabosi wao. Bosi huyu sasa ana umri wa miaka 47 licha ya kuonekana kama mti mkavu.
Katika umri huo hana mpango wa kuoa bali ku hang out na mabinti tofauti. Alianza kula wafanyakazi wake kama bint Embe, bint aliamini angefunga ndoa na bosi huyo kabla ya kumfukuza kazi pamoja na kijana makatuni.
Bosi huyo kaendelea kuchafua kwa kumzalisha mtumishi wake bint Mstimu watoto wawili.
My take: Najua kuwa ni maisha yake binafsi lakini unatuumiza unapowazini Dada zetu na kuwatupa, umempotezea muda sana bint Embe.
Pole sana mkuu, hili ni funzo kwetu kina baba.. Tujenge utaratibu wa kuwajenga kwa kuwa karibu sana na mabinti zetu tuwape mapenzi kama wazazi ili wasibabaishwe kabisa!Hao mabinti wanajipeleka wenyewe. Ukiona sehemu ya kazi mmtumishi wa kike anazini na msimamizi wake basi elewa kuwa hajiamini katika utendaji wake na hivyo kutaka protection.
Mimi nitamlaani huyo boss kwa kumzalisha mdogo wangu akiwa na miaka 14 tu na kuharibu maisha yake kabisa mpaka mauti yakamkuta.
RIP Bezamenyo
Hii fasihi nimeipenda sana
inawezekana mkuuMganga wake kampa masharti hilo ni moja wapo akioa anafirisika mwache apete na dada zako tu
U sound jct like mchomvu...wivu tu sababu hagongi mapungazeze;
..unatamani uolewe wewe,
.choko mchokozi!