Yaani achukue bilioni 35 kwa hao wafanyabiashara. Kwa biashara gani wanayoingiza bandarini bwana. Hizo hela hao watu si bora walipie tu ushuru bandarini. Yaani mtu apewe 35b. Gerarahia. Tena in cash.
Haha yy hana nyumba ana mansion mkuuu tofautisha hivyo vitu vi 2 😁😁😁Bilioni 35 haiwezi kukaa nyumbani
Haha yy hana nyumba ana mansion mkuuu tofautisha hivyo vitu vi 2 😁😁😁
.mkuuu bil 3 sio pesa ya kuenda kukamatwa na takukuruMnazidisha chumvi Hadi mnaharibu habari husika ..
Jamaa ni mwizi ila si kwa mpango huu. Tajiri ana mabilioni asomeshe mtoto matthews mbagala. Eti iphone 12 nayo ni ya kushtuka kweli kwa vijana wasasa.Kuna watu hawajui kuongeza chumvi...wanaweka gunia zima
Haha baba nelkoni anajuana na deep state ww hawezi pelekeshwa hivi hivi mkuuAhsante sana mkuu.
Umeturahisishia kazi.
Nafungua code:
Mtoto = Nelkoni
Shule = bwawani to st mathew (kufukuzwa shule)
Kosa = iphone macho 3
Chanzo cha fedha = kumuibia mshua
Therefore, BABA Nelkoni ameingia mtumbwi wa vibwengo.
Sugunyo zinakuja njiani
Ndo hapo nashangaaa haiwezi kuwa 3B asee itasoma humo 35B maaana inaonesha hasara yake ni kubwaJamaa ni mwizi ila si kwa mpango huu. Tajiri ana mabilioni asomeshe mtoto matthews mbagala. Eti iphone 12 nayo ni ya kushtuka kweli kwa vijana wasasa.
Mara 150ml kiwanja. Hiyo ni hela kwei ya kushtuka. Bosi TRA. Akati kijana tu wa kawaida dalali ana miliki nyumba , kijana Mc anamiliki 200ml worth assets. Muuza ngada. Sasa boss TRA 150 kununua kiwanja ni ufujaji
Kana muvi vile mkuu
Duuuh muda utasema yangu machoYaani achukue bilioni 35 kwa hao wafanyabiashara. Kwa biashara gani wanayoingiza bandarini bwana. Hizo hela hao watu si bora walipie tu ushuru bandarini. Yaani mtu apewe 35b. Gerarahia. Tena in cash.
Jamaa ni mwizi ila si kwa mpango huu. Tajiri ana mabilioni asomeshe mtoto matthews mbagala. Eti iphone 12 nayo ni ya kushtuka kweli kwa vijana wasasa.
Mara 150ml kiwanja. Hiyo ni hela kwei ya kushtuka. Bosi TRA. Akati kijana tu wa kawaida dalali ana miliki nyumba , kijana Mc anamiliki 200ml worth assets. Muuza ngada. Sasa boss TRA 150 kununua kiwanja ni ufujaji
mwaka jana alimhamisha mtoto wake wa kiume aitwaye (jina kapuni kwa sasa) kutoka katika Shule ya Sekondari Bwawani kwenda St. Methew kwa kile kinachoelezwa "kuficha upigaji wa baba".
hii habari imekaa kikuda hasa. Kwanza unaficha jina halafu unalitaja tena.Taarifa zinasema Nelkoni alipohojiwa na uongozi wa shule
Bilioni 35 haiwezi kukaa nyumbani
Ni sawa na Wazee ambao hawana maeneo makubwa kwenye majiji ya Tanzania.Umenena ukweli kabisa watoto wako watakutusi kweli ukikaa kiboya asee [emoji16]
Una-acha vip kazi while mirija ya pesa kwenye kitengo chako bado ipo ya kumwaga na utaacha ili amuachie mwenzako ale? Nani akuachie opportunity kama hiyo kizembe ... Yaani hapo mkuu mpaka wakuachishe kilazimaKwanza angeacha na kazi kwa hiyari unless awe mtu mwenye laana!