Bosi TRA anavyoitafuna nchi

Bosi TRA anavyoitafuna nchi

Ahsante sana mkuu.
Umeturahisishia kazi.
Nafungua code:
Mtoto = Nelkoni
Shule = bwawani to st mathew (kufukuzwa shule)
Kosa = iphone macho 3
Chanzo cha fedha = kumuibia mshua
Therefore, BABA Nelkoni ameingia mtumbwi wa vibwengo.
Sugunyo zinakuja njiani
 
Kuna watu hawajui kuongeza chumvi...wanaweka gunia zima
Jamaa ni mwizi ila si kwa mpango huu. Tajiri ana mabilioni asomeshe mtoto matthews mbagala. Eti iphone 12 nayo ni ya kushtuka kweli kwa vijana wasasa.
Mara 150ml kiwanja. Hiyo ni hela kwei ya kushtuka. Bosi TRA. Akati kijana tu wa kawaida dalali ana miliki nyumba , kijana Mc anamiliki 200ml worth assets. Muuza ngada. Sasa boss TRA 150 kununua kiwanja ni ufujaji
 
Ahsante sana mkuu.
Umeturahisishia kazi.
Nafungua code:
Mtoto = Nelkoni
Shule = bwawani to st mathew (kufukuzwa shule)
Kosa = iphone macho 3
Chanzo cha fedha = kumuibia mshua
Therefore, BABA Nelkoni ameingia mtumbwi wa vibwengo.
Sugunyo zinakuja njiani
Haha baba nelkoni anajuana na deep state ww hawezi pelekeshwa hivi hivi mkuu
 
Jamaa ni mwizi ila si kwa mpango huu. Tajiri ana mabilioni asomeshe mtoto matthews mbagala. Eti iphone 12 nayo ni ya kushtuka kweli kwa vijana wasasa.
Mara 150ml kiwanja. Hiyo ni hela kwei ya kushtuka. Bosi TRA. Akati kijana tu wa kawaida dalali ana miliki nyumba , kijana Mc anamiliki 200ml worth assets. Muuza ngada. Sasa boss TRA 150 kununua kiwanja ni ufujaji
Ndo hapo nashangaaa haiwezi kuwa 3B asee itasoma humo 35B maaana inaonesha hasara yake ni kubwa
 
Yaani achukue bilioni 35 kwa hao wafanyabiashara. Kwa biashara gani wanayoingiza bandarini bwana. Hizo hela hao watu si bora walipie tu ushuru bandarini. Yaani mtu apewe 35b. Gerarahia. Tena in cash.
Duuuh muda utasema yangu macho
 
Jamaa ni mwizi ila si kwa mpango huu. Tajiri ana mabilioni asomeshe mtoto matthews mbagala. Eti iphone 12 nayo ni ya kushtuka kweli kwa vijana wasasa.
Mara 150ml kiwanja. Hiyo ni hela kwei ya kushtuka. Bosi TRA. Akati kijana tu wa kawaida dalali ana miliki nyumba , kijana Mc anamiliki 200ml worth assets. Muuza ngada. Sasa boss TRA 150 kununua kiwanja ni ufujaji


Aliposema Tu kanunua kiwanja Mwananyamala sijui ndo utaona uongo...yaani Una bilioni 35 uache nyumba masaki za bilioni 2 au 3 uende mwanayamala??

Mara kiwanja cha petrol station bagamoyo....wakati unaweza mvua mtu petrol station iliyo tayari eneo la biashara Kwa bilioni 1.5......
Mleta mada haijui bilioni 35....
 
mwaka jana alimhamisha mtoto wake wa kiume aitwaye (jina kapuni kwa sasa) kutoka katika Shule ya Sekondari Bwawani kwenda St. Methew kwa kile kinachoelezwa "kuficha upigaji wa baba".

Taarifa zinasema Nelkoni alipohojiwa na uongozi wa shule
hii habari imekaa kikuda hasa. Kwanza unaficha jina halafu unalitaja tena.

Itakuwa ulinyimwa box za hela wewe.
 
Bila kumtaja kwa majina yake basi huu ni umbea tuu, lakini tulipofikia kwa sasa ukipata nafasi ya kukwapua hakikisha umekwapua vya kutosha ukijikuta mzalendo utakufa huna chochote hata heshima hutakua nayo.
 
Ha ha tuanze na waliotajwa ripoti ya cag Kwan Kuna hatua zilichukuliwa au nao wanazidi kutesa tu ...

Sikia bwana mdogo hii nchi ni kubwa asa acha huo wivu wako wa kike,,na ww tafuta kijiko uanze kujipakulia minyama sio kukaa kufatilia mamb ya watu..

Tena Bora uyo boss wa tra ajipigie Kwan hata zikienda huko serikalin si zitaliwa na kina mwigulu na nape au hujui..so kaa Kwa kutulia na ww tafuta kijiko anza kujipakulia minyama..kama huwez nenda shamba kalime
 
Umenena ukweli kabisa watoto wako watakutusi kweli ukikaa kiboya asee [emoji16]
Ni sawa na Wazee ambao hawana maeneo makubwa kwenye majiji ya Tanzania.
Sisi nao tutaonekana washamba kuwa na vieneo vidogo
 
Back
Top Bottom