DOKEZO Bosi wa kiwanda cha A to Z Arusha anawadhalilisha na kuwakandamiza Watanzania

DOKEZO Bosi wa kiwanda cha A to Z Arusha anawadhalilisha na kuwakandamiza Watanzania

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mna
Merchandising executive kwa jina la Perumal aliyepo kiwanda cha A to Z katika kampuni ya Red Earth amekuwa na tabia endelevu ya kuwatukana, kuwabagua, kuwadhalilisha na kuwaonea watanzania wanaofanya kazi katika ofisi ya merchandising kiwandani hapo.

Malalamiko hayo yalipelekwa kwa uongozi wa kiwanda lakini hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi yake badala yake wale walio peleka taarifa kwa uongozi wakafukuzwa kazi, Perumal amekuwa ni Tatizo sugu kiwandani hapo na alifikia hatua ya kusema serikali ya Tanzania ni dhaifu hawezi kufanywa chochote.

Tunaomba uongozi wa Mkoa wa Arusha na ofisi za kazi mkoa wa Arusha wafike kiwandani hapo kuwahoji wafanyakazi juu ya tabia za mtu huyo lakini pia wawatafuta wale waliokuwa wanafanya kazi ofisini hapo waliofukuzwa baada ya kupeleka barua ya malalamiko kwa uongozi wa kiwanda kwa ajili ya kuwahoji na watawasaidia maelezo na email walizowatumia uongozi.

Tusaidiane kupaza sauti kukemea uonevu maeneo ya kazi na kuifanya Tanzania salama.
Nchi inauza rasilimali kwa wageni halafu inawafanya raia wake manamba wa mabwenyenye wa kihindi na kichina ,pumbavu sana
 
Merchandising executive kwa jina la Perumal aliyepo kiwanda cha A to Z katika kampuni ya Red Earth amekuwa na tabia endelevu ya kuwatukana, kuwabagua, kuwadhalilisha na kuwaonea watanzania wanaofanya kazi katika ofisi ya merchandising kiwandani hapo.

Malalamiko hayo yalipelekwa kwa uongozi wa kiwanda lakini hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi yake badala yake wale walio peleka taarifa kwa uongozi wakafukuzwa kazi, Perumal amekuwa ni Tatizo sugu kiwandani hapo na alifikia hatua ya kusema serikali ya Tanzania ni dhaifu hawezi kufanywa chochote.

Tunaomba uongozi wa Mkoa wa Arusha na ofisi za kazi mkoa wa Arusha wafike kiwandani hapo kuwahoji wafanyakazi juu ya tabia za mtu huyo lakini pia wawatafuta wale waliokuwa wanafanya kazi ofisini hapo waliofukuzwa baada ya kupeleka barua ya malalamiko kwa uongozi wa kiwanda kwa ajili ya kuwahoji na watawasaidia maelezo na email walizowatumia uongozi.

Tusaidiane kupaza sauti kukemea uonevu maeneo ya kazi na kuifanya Tanzania salama.
Hiyo yote sababu ya ufukara tu unaosababishwa na kutowajibika kwa wananchi kuibana serikali na kuleta mapinduzi ya kweli katika uendeshaji wa nchi , mafisadi wamejazana wanakula na kusaza kwa anasa kwa kodi zenu ,halafu common citizens wamegeuzwa watumwa kwenye nchi yao .
Upumbavu sana , hii nchi wananchi hawatakiwi kuishi maisha ya dhiki hivyo ,dhiki ndio inafanya watu wawe vulnerable kuwa oppressed na kudhulumiwa na hao wapuuz
 
Wabongo akili ndogo, Sasa hapo nenda kamtoe mmoja njoo mlipe mshahara laki na nusu na baadhi ya huduma mhudumie, coz ni mbongo mwenzake umemuajiri full kuanza dharau ya kazi na kukusimanga boss. Mbongo dawa yake ni hao wahindi na waarabu acha wawanyooshe. Nimekaa na mibongo akili ndogo sana unalipa fair kwenye kazi unamlipa vizuri lakini anaenda kuungana tena na majirani kuniharibia. Namuuliza hv wewe kesho nikikufukuza hao majirani watakupa hata nauli?
 
Hiyo yote sababu ya ufukara tu unaosababishwa na kutowajibika kwa wananchi kuibana serikali na kuleta mapinduzi ya kweli katika uendeshaji wa nchi , mafisadi wamejazana wanakula na kusaza kwa anasa kwa kodi zenu ,halafu common citizens wamegeuzwa watumwa kwenye nchi yao .
Upumbavu sana , hii nchi wananchi hawatakiwi kuishi maisha ya dhiki hivyo ,dhiki ndio inafanya watu wawe vulnerable kuwa oppressed na kudhulumiwa na hao wapuuz
Absolutely
 
Wabongo akili ndogo, Sasa hapo nenda kamtoe mmoja njoo mlipe mshahara laki na nusu na baadhi ya huduma mhudumie, coz ni mbongo mwenzake umemuajiri full kuanza dharau ya kazi na kukusimanga boss. Mbongo dawa yake ni hao wahindi na waarabu acha wawanyooshe. Nimekaa na mibongo akili ndogo sana unalipa fair kwenye kazi unamlipa vizuri lakini anaenda kuungana tena na majirani kuniharibia. Namuuliza hv wewe kesho nikikufukuza hao majirani watakupa hata nauli?
Sawa mbongo
 
Back
Top Bottom