Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Dah mida hii naingia zangu telegram nakuna na Boss join kwenye group la ovyo sana, sasa najiuliza how ameweza jiunga halafu ni mtu anaheshimika sana
Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae
Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae