Boss kajiunga kwenye Group la Danguro la Telegram

Boss kajiunga kwenye Group la Danguro la Telegram

Si Bora we boss.... Mimi niliamua ku left baada ya kuona mjomba naye yumo,!! [emoji1787]
Aisee,nlimkuta uncle wangu badoo,na aliyenisanua ni mtoto wa sister angu ambaye naye alinikuta huko,ikatubidi mimi na uncle mdogo tutoke mbio
20230114_154545.jpg
 
Embu Semeni Kbs, ndo Wapi Huko..?

Enzi hizo Telegram ilikuwa ni just Communication iliyokuwa inatumia telegraph.
 
Algorithm za mitandao ya kijamii wengi hawana ufahamu nao mfano telegram mtu akiwa kweny group unamuona moja kwa moja kwa jina ulilomsave kama namba yek unayo ,na hata akijiunga kwa mara ya kwanza telegram unapata notification mtu fulani amejiunga na unajua kabisa.

Facebook hata ukoment kweny page yeyote ile ambao friends zako hawapo basi wao wataiona moja kwa ile post kupitia comment yako na hapo kama ulikoment ujinga basi wanaona kabisa ...Unakuta page za mambo ya zinaa mwanamke kajipost nusu uchi then unamuona hata babaako kakoment "nice picture"🤣🤣
 
Algorithm za mitandao ya kijamii wengi hawana ufahamu nao mfano telegram mtu akiwa kweny group unamuona moja kwa moja kwa jina ulilomsave kama namba yek unayo ,na hata akijiunga kwa mara ya kwanza telegram unapata notification mtu fulani amejiunga na unajua kabisa.

Facebook hata ukoment kweny page yeyote ile ambao friends zako hawapo basi wao wataiona moja kwa ile post kupitia comment yako na hapo kama ulikoment ujinga basi wanaona kabisa ...Unakuta page za mambo ya zinaa mwanamke kajipost nusu uchi then unamuona hata babaako kakoment "nice picture"🤣🤣
Dah usipokuwa makini heshima yako inapitea 😂😂 kisa nice picture au kishundu ichooo nimekiona 😂😂
 
Dah mida hii naingia zangu telegram nakuna na Boss join kwenye group la ovyo sana, sasa najiuliza how ameweza jiunga halafu ni mtu anaheshimika sana

Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae

Wewe mwenyewe boss wako atakua anashanga kukuona
 
Back
Top Bottom