Boss kajiunga kwenye Group la Danguro la Telegram

Boss kajiunga kwenye Group la Danguro la Telegram

Dah mida hii naingia zangu telegram nakuna na Boss join kwenye group la ovyo sana, sasa najiuliza how ameweza jiunga halafu ni mtu anaheshimika sana

Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae
Huoni siku moja na wewe utakapokuwa bosi utakuwa hivyo? Hebu tuambie na sisi faida ya kuchungulia mauchi ya makahaba huko kwenye magroup yenu.
 
Huoni siku moja na wewe utakapokuwa bosi utakuwa hivyo? Hebu tuambie na sisi faida ya kuchungulia mauchi ya makahaba huko kwenye magroup yenu.
Sichungulii mbona hasira ivyo
 
Na ujawai tapeliwa kwenye hayo magroup
N0p sijawahi...Ukitaka usitapeliwe fanya ivi...Kataa Kununua demu kut0ka kwa dalali,Kununua video,Kupigiana vide0 call,kutuma nauli...ukimpenda malaya Mfate alik0 na awe na room ili kupunguza garama...
 
N0p sijawahi...Ukitaka usitapeliwe fanya ivi...Kataa Kununua demu kut0ka kwa dalali,Kununua video,Kupigiana vide0 call,kutuma nauli...ukimpenda malaya Mfate alik0 na awe na room ili kupunguza garama...
Duh kweli ww mzoefu
 
Kabla Sijaleft Haya Magroup,Nishawahi muona mtu Mmoja Maarufu Hapa Bongo,Baada Ya Kuwa Na Namba yake.Sasa nikajiuliza anatafuta Nini Humu Wakati Pesa Anazo,Cheo Anacho na Hata Akimsimamisha msichana Yoyote njiani Hachomoi Kutokana Na Umaarufu Na Pesa zake Pia.Daah!Maisha Yanaenda Kasi sana
 
Kama ni h8vyo kwa nini basi umshangae bosi wako? Group la danguro linachat nini?
Bas nitumie link za magroup ya kuwekeza na ya kuelimisha nijiunge nitoke kwemye madanguro
 
Kabla Sijaleft Haya Magroup,Nishawahi muona mtu Mmoja Maarufu Hapa Bongo,Baada Ya Kuwa Na Namba yake.Sasa nikajiuliza anatafuta Nini Humu Wakati Pesa Anazo,Cheo Anacho na Hata Akimsimamisha msichana Yoyote njiani Hachomoi Kutokana Na Umaarufu Na Pesa zake Pia.Daah!Maisha Yanaenda Kasi sana
Uli gundua nini
 
Dah mida hii naingia zangu telegram nakuna na Boss join kwenye group la ovyo sana, sasa najiuliza how ameweza jiunga halafu ni mtu anaheshimika sana

Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae
Siku utapokuta Dad Join Group Buza kwa mpalange hakikisha unamtag na kumuuliza "kumbe mzee na wewe unapitaga huku"
 
Back
Top Bottom