t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Kwan wewe ulifata nini kwenye hilo group?, Bosi wako hataki stress kaamua kujichanganya tu .Ila hafai kuwa pale
Njia rahisi ya kupata stress ni kujiwekea limitations,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan wewe ulifata nini kwenye hilo group?, Bosi wako hataki stress kaamua kujichanganya tu .Ila hafai kuwa pale
Namba ya simu ya mtu ukusev kama ipo telegram inajisev kule au utumii sna mitandao iyoBocy wako ni muuza duka? Maana ni muuza duka tu ndo anaweza weka profile yake na picha halisi huko
Aha na chumviSasa unikute na hatujuani au ndio ushakula ugali na sukari?
Uncle tena dah uyo uncle wa mjini uyoSi Bora we boss.... Mimi niliamua ku left baada ya kuona mjomba naye yumo,!! [emoji1787]
Ahahha aya kazi kwakeKwan wewe ulifata nini kwenye hilo group?, Bosi wako hataki stress kaamua kujichanganya tu .
Njia rahisi ya kupata stress ni kujiwekea limitations,
Mimi najuaga yy anakula wale wanaokimbia pamoja kwenye marathon izo 😂😂😂😂😂 wacha avinjari kwani yeye hana mashine?
Dah kwahiyo tunashangaana ukoBoss mwenyew anakushangaa Kila siku kujifanya kijana wa kanisa
Sawa nimekuelewa ila sijui kuandika sikusoma mpaka mwishoBasi uwe unaandika vizuri nyuzi zako,we vipi?
Kwani hujui kuandika?
Siyo hana, sema ana heshimika. Unapoongeze h mbele una kanusha. Kwana mfana. Juna ana pesa. Na Juma hana pesa.Dah mida hii naingia zangu telegram nakuna na Boss join kwenye group la ovyo sana sasa najiuliza how ameweza jiunga af ni mtu hana heshimika sana
Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae
Af kesho unaingia job unaitwa ofisin unapewa bahasha 😂😂Msogezee boss link za magroup mengine
Ok thanksSiyo hana, sema ana heshimika. Unapoongeze h mbele una kanusha. Kwana mfana. Juna ana pesa. Na Juma hana pesa.
Lete hilo gurupu tujiunge, acha maneno mingi kijanaDah mida hii naingia zangu telegram nakuna na Boss join kwenye group la ovyo sana sasa najiuliza how ameweza jiunga af ni mtu hana heshimika sana
Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae
Ahahha mshua huyu ukimuona ase acheki kabisa ase mkaksi 😂😂😂😂 Unamconnect na mmoja unaemuelewa amtulize wenge
Ngoja nikusogezeeLete hilo gurupu tujiunge, acha maneno mingi kijana
Barikiwa!Ngoja nikusogezee
Na yeye kafata pis mwacheAhah mimi mule ndio nyumban tunapataga pis
Ahahahha kwahiyo upo kwenyee group nyingi sio VAD VANGGroup gan ilo usijekuta m ni memba