stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
kwa niijuavyo bongo!huyu jackie kwa uzuri wake angeweza kuishi maisha mazuri bila kufanya kazi zaidi ya kutegemea wanaume tu kama wafanyavyo chupi chafu wengine!ila kwa ujasiri wa mtu wangu huyu wa nguvu jackie cliff akachekecha akaona siyo kesi wala nini akazama mzigoni mwenyewe....big up mwanadada jackie cliff ni ajali kazini tu acha mbwa kama ray C mwenye ngoma ikampa stress akaanza kula unga mchafu abwatuke!kama yeye mjanja angekuwa anakula kitu white cha pele ila kwakuwa mzigo hana akawa anagonga machafuchafu ya pakistan.....get rich or die tryin!
Wee...kweli!. Sikuisikia hyo... no wonder why vijana hawaogopi. Nimeelewa sasa
Huyo Jux hana akili baada ya kufikiria watafanyaje akipewa bond yeye anataka kuwa "prove" watu kwamba Jacky yuko nje, wachina hawajamuachia bado yuko ndani na anaembebesha sembe na kumpa jeuri anaitwa jordan, wewe Jux acha ushamba Jacky hatoki leo wala kesho
(mzigo hana akawa anagonga machafuchafu ya pakistan.....) hehehehe MUSHARAFU
na ile pic Insta je.........maana inaonekana ni ya very recently
Balozi wetu kule China na wauza wa Unga Lao mojaaa,, hata hivyo nilijaribu kumpigia simu rfk wa karbu nikamhuliza vip Jack ameachiwa akaniambia Hapana hajui lolote nasubir badae nimpigie teena Anipe Ukwelii,, mimi mwenyewe nimeshangaa Instagram ka post pcha
Balozi wetu kule China na wauza wa Unga Lao mojaaa,, hata hivyo nilijaribu kumpigia simu rfk wa karbu nikamhuliza vip Jack ameachiwa akaniambia Hapana hajui lolote nasubir badae nimpigie teena Anipe Ukwelii,, mimi mwenyewe nimeshangaa Instagram ka post pcha
Ntakasi
hivi mnaomtetea jacky mna akili timamu kweli.?
By the way naomba unisaidie MNAUPATAJE HUO U-JASIRI,NA MIMI NINA UHITAJI NISAIDIENI JAMANI..
MillionHairs umeipata hii habari