Boss Lady ''a-update'' kurasa yake ya instagram....



Muuza mwingine wewe hapo!
 
Mie kuna siku nilisikia Balozi wa Tanzania nchini China anasema hakuna mtanzania aliokamatwa na madawa ya Kulevya

na hata hiyo taarifa ya Jackie cliff hana maana last time mtu kukamatwa na madawa ilikuwa May 2013 I was like WHAT!!!!!
 

na ile pic Insta je.........maana inaonekana ni ya very recently
 
I'm happy for her wisdom...mwacheni atoke aendelee kuwanyoosha wabongo
 
No kweli ni yeye imepigwa kama sikosei Leo kwenye mida ya SAA sita ivi,nilivyoichek post imewekwa 26minutes ago,na nika mfollow instance baada ya muda aka accept maana ameweka private user,kama they just brainwash us haina maana..Ila hat a masogange ilikuwa Ivi mwisho wake katoka kweli..so lets watch the scene
 

Wanasema ni Jux ndio anaezituma...sijui sasa
 

Utatupa update Mkuu...
 
Ntakasi

hivi mnaomtetea jacky mna akili timamu kweli.?
By the way naomba unisaidie MNAUPATAJE HUO U-JASIRI,NA MIMI NINA UHITAJI NISAIDIENI JAMANI..

Yaani...huo ujasiri tungeutumia kwenye issue nyingine tungekuwa mbali sana. Sidhani ile kazi kama wawezaifanya ukiwa na akili zako. Haiingii akilini...sijui ndo waganga sielewi....
 
Last edited by a moderator:
Mtoto mzuri hivi harafu mtu anamsokomeza mikete katika nnya/kabang yake kwa malipo gani?mbona wanajiharibu hawa watoto?,hawa wanastahili adhabu kali sana na ikibidi wapotezwe katika uso wa dunia hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…