stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
kwa niijuavyo bongo!huyu jackie kwa uzuri wake angeweza kuishi maisha mazuri bila kufanya kazi zaidi ya kutegemea wanaume tu kama wafanyavyo chupi chafu wengine!ila kwa ujasiri wa mtu wangu huyu wa nguvu jackie cliff akachekecha akaona siyo kesi wala nini akazama mzigoni mwenyewe....big up mwanadada jackie cliff ni ajali kazini tu acha mbwa kama ray C mwenye ngoma ikampa stress akaanza kula unga mchafu abwatuke!kama yeye mjanja angekuwa anakula kitu white cha pele ila kwakuwa mzigo hana akawa anagonga machafuchafu ya pakistan.....get rich or die tryin!
Muuza mwingine wewe hapo!