Boss Lady ''a-update'' kurasa yake ya instagram....

Boss Lady ''a-update'' kurasa yake ya instagram....

Si ndio hapo sasa... ila ukute wanaandaa mazingira ya kumtoa. Si unajua tena...lisemwalo lipo

Kaka wavimba macho awana mchezo na mzigo umeonekana live, tumuombee kwa mungu tu mwanawane asifungwe muda mrefu, lkn kuachiwa free itakuwa issue kubwa..!
 
Kaka wavimba macho awana mchezo na mzigo umeonekana live, tumuombee kwa mungu tu mwanawane asifungwe muda mrefu, lkn kuachiwa free itakuwa issue kubwa..!

Ha ha haaa. ... Huwezi kujua mwaya. Watu na connection zao... waweza ambiwa zilikuwa dawa feki au unga wa ngano ndani. Wacha movie iendelee...
 
China sasa hivi winter huwezi kutoka na kichupi kiasi hicho, nikutumia akili tuu kakamatwa na mkoti sababu ni baridi sana leo ana kichupi hapo kaka Jux hakupiga mahesabu vizuri

Kwani alienda na nguo moja?
 
atakuwa ni yule bf anafanya michezo hiyo.haina shaka kuwa anayo password ya instagram account ya jack cliff.
 
Kwa sasa China kuna baridi sana,uwezi vaa nguo kama hivyo kipindi hiki
 
Anabahati alikamatiwa macau maana ingekuwa mainland sasa hivi figo, moyo, main nk zake zingekuwa zinauzwa kama nyanya za sokoni.
 
wana saikolojia wanasema kuwa watu wenye akil huwa wana discuss idea, watu wenye akili za kati wana discuss matukio na watu wenye akili ndogo huwa wana discuss watu. Ni hayo tu
 
hata wewe ukiwa na password ya social media yeyote ya mtu aliepotea,fungwa au aliyekufa unaweza weka picha na habari zake sehemu yeyote,muda wowote! Si ajabu.
 
Apige na gazeti lenye tarehe ambalo linaweza kuhakikiwa.

Kama ni picha tu mtu yeyote mwenye access ns akaunti yake anaweza kutuma picha.

Wabongo wengine mbona tunakuwa wepesi wepesi kukubali?
 
Ehhh now naunganisha dots,ubalozi wamekana kukamatwa kwake,now she is posting pics insta,kilichobaki mtu atampiga picha live ataleta humu,...chezeya nguvu ya sembe wewe
 
Back
Top Bottom