Boss wa Diamond akubali kushiriki kwenye ushirikina

Boss wa Diamond akubali kushiriki kwenye ushirikina

Tale humu mbona mie nishawahi kumzungumzia kitambo na ndio maana mtu kama mimi wala hanisumbui akili coz' najua ni mropokaji! Kwanza kwa ufupi, wasanii wengi ni washirikina, tena sana tu lakini wala siamini kwamba ushirikina unaweza kumpaisha mtu unless kama tunataka kuamini kwamba hata akina Nick Minaj nao ni washirikina! Ingekuwa ushirikina unamwezesha mtu, Waafrika tungekuwa mbele kwa kila kitu manake, kwenye mpira ushirikina, lakini Afrika ndo ya mwisho; kwenye filamu full ushirikina, lakini wala hatumo kwenye ramani ya watengeneza filamu bora duniani... hata nyanya tunauza kwa ushirikina lakini bado kwanza tunaongoza kwa umaskini! Hakuna mchawi mkubwa duniani zaidi ya pesa, haya mambo mengine ni upuuzi tu!

Mhh, hali inatisha, nimeanza kumuogopa diamond sasa
 
Duh maneno yako yanachoma binamu khaa!!,ila wamenichokoza, mi mtu akijifanya chizi mimi ndio raisi wao
Haya bhana Mpwa, kama kweli ulichokozwa, mie sina neno manake kama nilivyosema hapo awali, humu ukijifanya kwamba ww ni mshikaji wake Jesus, kwamba mtu akikunyuka kibano shavu la kushoto mgeuzie la kulia, utashitukia badala ya kunyukwa kibao huko shavu la kulia, utajikuta unapigwa dole kabisa!
 
The best quote of the day.:thumbup::thumbup:

Kwanza kama mtu anamjua babutale wala hauumizi kichwa!alishawahi kuhojiwa na Salama kwenye MKASI kama miaka mitatu nyuma na akasema yeye ni mswahili na lazima ashiriki kwenye mambo ya kiswahili!

Dully kashahojiwa kuhusu uchawi na akasema kua hua anajikinga,hakuna msanii au mwanasiasa ambae sio mshirikina Africa hii
 
Mhh, hali inatisha, nimeanza kumuogopa diamond sasa

Usimuogope diamond binamu muogope babutale,mr blue,allykiba na dully ambao wao wameshawahi kukiri kwamba sio wachawi ila wanajikinga na uchawi,sasa najiuliza HOW?wanajikingaje na ilhali kuna mungu??

!uchawi umetawala maisha ya wasanii/wafanyabiashara/wanamichezo/wanasiasa na kila sehemu kuna uchawi siku hizi mpaka watoto wetu wachanga wanarogw mi mwenyewe nataka kwenda zangu tanga kwa bibi mzaa mama maana hali ya humu ndani siielewi kabisaaaa
 
Haya bhana Mpwa, kama kweli ulichokozwa, mie sina neno manake kama nilivyosema hapo awali, humu ukijifanya kwamba ww ni mshikaji wake Jesus, kwamba mtu akikunyuka kibano shavu la kushoto mgeuzie la kulia, utashitukia badala ya kunyukwa kibao huko shavu la kulia, utajikuta unapigwa dole kabisa!

Dole tu mi Nilijua naniliu kabisa
 
Wewe ni chizi, hilo la walimu liko so real hadi serikali imeingilia kati.

Stupid urself.

Serikali kungilia hakubadilishi ukweli, ujinga ni ujinga tu na hata mimi kama naunga hayo mkono then yes nastahili kuwa stupid.

Na ndio tutabakia huko huko gizani na kubaki kuimba "tuna rasilimali nyingi" siku Marekani wakisema hawahitaji tena Tanzanite tutabaki tunan'gaa macho.
 
Usimuogope diamond binamu muogope babutale,mr blue,allykiba na dully ambao wao wameshawahi kukiri kwamba sio wachawi ila wanajikinga na uchawi,sasa najiuliza HOW?wanajikingaje na ilhali kuna mungu??

!uchawi umetawala maisha ya wasanii/wafanyabiashara/wanamichezo/wanasiasa na kila sehemu kuna uchawi siku hizi mpaka watoto wetu wachanga wanarogw mi mwenyewe nataka kwenda zangu tanga kwa bibi mzaa mama maana hali ya humu ndani siielewi kabisaaaa

Hahahahh njoo hapa kwamsisi tukufanyie tiba asili .
 
We malaya achana na mimi, kama ndomo anakunyonya mat**o ni uko mbwa kabisa wewe, tena ukome kuni quote hili jukwaa sio la bahasha wako malaya usiyekuwa na soko wewe mxieeee, unaacha kumshobekea aliyekuumba unashoboka na watu ambao ata hawajui uwepo wako, tena unikome kama ulivyokoma kunyonya dudu ya baba ako mzazi hayawani wewe, naona ulikuwa hunijui vzuri mbwa mwitu wewe

binamu yangu katika ubora wakeee cc nifah Kim nana
 
Last edited by a moderator:
We malaya achana na mimi, kama ndomo anakunyonya mat**o ni uko mbwa kabisa wewe, tena ukome kuni quote hili jukwaa sio la bahasha wako malaya usiyekuwa na soko wewe mxieeee, unaacha kumshobekea aliyekuumba unashoboka na watu ambao ata hawajui uwepo wako, tena unikome kama ulivyokoma kunyonya dudu ya baba ako mzazi hayawani wewe, naona ulikuwa hunijui vzuri mbwa mwitu wewe

heheeeeeiyaaaa nimemissssss vichambo vya humu warumi shikamoooo
 
Last edited by a moderator:
Hata kumchukia binadamu mwenzio bila sababu nao ni uchawi tosha ,wachawi wapo wengi tu hata humu jf.
 
ameulizwa ana amini uchawi kama upo kasema ndio

kaulizwa anashiriki kasema anashiriki yeye ni mwafrika na mtu wa morogoro so huwa ana enda kwa mganga kwa ajili ya mambo yke binafsi kama kupata tiba!

Hii haihusiani na diamond....!!

hata diamond ni jambo lake binafsi
 
ameulizwa ana amini uchawi kama upo kasema ndio

kaulizwa anashiriki kasema anashiriki yeye ni mwafrika na mtu wa morogoro so huwa ana enda kwa mganga kwa ajili ya mambo yke binafsi kama kupata tiba!

Hii haihusiani na diamond....!!
Babu hata angekuwa Zari asingemtetea hivi..
Dah watu wana watu aisee..
 
Back
Top Bottom