Boss wa Diamond akubali kushiriki kwenye ushirikina

Boss wa Diamond akubali kushiriki kwenye ushirikina

Mhh huyo babu tale elimu yake ipoje? Hyo kauli yake ni kama mtu ambaye hajaenda shule na hajui psychology vzur, mimi nimemsikiliza, yani anaona ushirikina kwake ni kitu cha kawaida sana, yani ina maanisha yeye anafanya sana uchawi ndio maana hashtuki, kama yeye anafanya ushirikina ni ngumu kusema diamond hafanyi wakati yeye ndio manager wake ,that means anampa mbinu mbali mbali za biashara ikiwemo ushirikina, ipo siku mungu atawachapa waache wafanye wanayojua
Point, tatizo la uchawi kama kweli unaufanya ukiukana hadharani unakuchapa gizani......!
 
Hahah nilisahau ilo tukio kweli nalo lilizua shaka sana kwa watu. Bora sisi tunasingiziwa Wao wana practice kabisa ndumba hadharani duh.

Meona eeh bora ya chibu wanaemhisi tu kuliko k anaetuonesha hadharani, ila masharti ya waganga nayo mtihani mtupu, ndo nini kumrukisha mwenzao ukuta,,😁
 
Hahahah imebuma yaani kipindi kifupi tu haah!

Ila nasikia Akili zinaendelea kuchekechwa kucheketuliwa.

Hahahaaaa tatizo anaenda kwa waganga wauchochoroni amuulize mondi mganga wake😁😁
 
Lulu, wema na diamond kwa ushirikina hawana mpimzani, watoto wachawi wale sijawahi kuona, mama ubaya yupo busy sasa ivi anaoroga aingie bungeni mxiue na wataumbuka mwaka huu
Wewe nikimbelembe,mama usipitwe kaone....
 
Halafu Mpwa mbona unapenda sana kashifa za aina hii? Mie siku moja ilibidi nimuombe Mungu tu anilinde ili tusitoleane lugha zisizofaa humu jamvini pale uliponiambia kauli kama hiyo! Hivi humu jamvini kuna wasanii wangapi unawashabikia? Mbona watu hawakuambii kauli za maudhi kama hizo? Nenda kule jukwaa la michezo uone watu wanavyowashabikia akina Ronaldo, Messi n.k... unatak kusema wote wale wanaweza kufi'rwa na hao akina Ronaldo? Yaani mpwa wakati mwingine mtu akikusoma anaamini kabisa kwamba huyu jamaa mjanja lakini comment zako zingine utafikiri umetoka kijijini kwenu leo! Hivi ni ajabu kwenye tasnia ya burudani kuona wanaume wanawashabikia wanaume wenzao? Yaani wewe upo tayari kuona mwanaume anamshabikia mwanaume mwingine yeyote yule lakini akimshabikia Diamond tu, kwako inakuwa nongwa? Hivi alikufanya nini huyu jamaa hadi kila uone anayemshabikia basi anaweza kuwa tayari kufi'rwa na huyo Diamond? Sasa kama mtu mkun'du wa kwake, hata akiwa tayari kufi'rwa wewe inakuuma au inakuhusu nini? Mpwa, mwezi mtukufu huu, hata kama wewe huamini katika hilo, jitahidi kuwa na staa manake hufahamu imani za wengine humu jamvini kwahiyo usije ukawaingiza wenzako majaribuni bila sababu za msingi... heri basi mtu angekuwa amekutukana lakini unaibuka tu from nowhere unaanza kumtolea lugha chafu namna hiyo? Bora huyo mtu awe mwanamke, je kama mwanaume mwenzako?

Anyway, nakuambia haya kwa kuwa nakuona wangu lakini ingekuwa mwingine wala nisingejisumbua! Ukitaka chukua ushauri wangu au acha lakini ufahamu tu kwamba, kutokana na tabia yako ya kupenda kujichanganya humu jamvini, wengine tunakuheshimu ndo maana, ingawaje kwa kawaida huwa sikopeshi mtu akinizingua, mara zote wewe unaponizingua huwa najitahidi kuvumilia... don't take away that respect.

Maneno ya busara haya mkuu.
 
NYie waswahili wachawi sana nyie, tena wa kuogopwa, elimu zero akili zero mtafanya nini zaidi ya kuroga?, ila mungu atawaumbua soon, nyie waswahili kwa uchawi mxiuuui ndio maana mkizaliwa tu mnavalishwa hirizi yan nyie mna laana
Sawa Mpwa, sisi wachawi, ni watu wa kuogopwa, hakuna chochote tunachowaza zaidi ya kuroga! Swali langu ina maana nyinyi watoto wa kishua mliosomea ng'ambo mnaamini kwamba mtu anafanikiwa kupitia uchawi? Swali mbona jepesi tu mpwa?
 
MH mpwa nae umeanza na magazeti yako
Mpwa akuambiae ukweli anakupenda... sisi wengine tunakula ban tukichokozwa kwa maana tunafahamu JF ukijifanya mstaarabu watu watakupanda hadi makalioni lakini wewe mpwa unaongoza kwa uchokozi! Hakuna tusi baya kama kumwambia mwanaume mwenzako kwamba atagongwa wakati hajakufanya chochote kile!
 
Maneno ya busara haya mkuu.
Yaani hili lipwa langu warumi mie lishanishinda... lenyewe linajifanya toto la uzunguni; sasa lingekulia Maguruwe kama sisi sijui lingekuwaje! Na we ngoja tu, nasubiri mfungo uishe... nitamfungia kazi cku moja humu jamvini hadi aipate habari yake. Hiyo cku wote tunakula ban, tukirudi tunapatana, kwani tatizo lipo wapi!
 
Last edited by a moderator:
ameulizwa ana amini uchawi kama upo kasema ndio

kaulizwa anashiriki kasema anashiriki yeye ni mwafrika na mtu wa morogoro so huwa ana enda kwa mganga kwa ajili ya mambo yke binafsi kama kupata tiba!

Hii haihusiani na diamond....!!


Tatizo wa bongo tumekalia unafiki..nandio unatufanya hatusogei mbele.
Mtu kuwa mkweli ishakuwa shida? ?
 
Sawa Mpwa, sisi wachawi, ni watu wa kuogopwa, hakuna chochote tunachowaza zaidi ya kuroga! Swali langu ina maana nyinyi watoto wa kishua mliosomea ng'ambo mnaamini kwamba mtu anafanikiwa kupitia uchawi? Swali mbona jepesi tu mpwa?

Kama watu wanautukuza uchawi na wanauhalalisha mbele ya jamii kwa nini nisiamini? Tale nilimshangaa sana eti anawaambia akina fetty na adam kila mtu anafanya uchawi ata wakisema wapekuliwe wengi mjengoni watakutwa nazo, yani Elimu nzuri sana bora unyimwe pesa upewe elimu yani kajiaibisha mpaka akina fetty wakamshangaa, yani mtu unajivunia ushirikina hadharani? SIsi kwetu ushuani hatujazoea uchawi aiseeh, Elimu yetu ndio uchawi wetu, ila babu tale katisha, kamdhalilisha sana mwenzie ata kama kweli hafanyi
 
Witchcraft is a product of a person's lack in critical thinking abilities.

Working smart and perseverance is the talent.

Witch Craft has nothing to do wit making good music.
 
Kama watu wanautukuza uchawi na wanauhalalisha mbele ya jamii kwa nini nisiamini? Tale nilimshangaa sana eti anawaambia akina fetty na adam kila mtu anafanya uchawi ata wakisema wapekuliwe wengi mjengoni watakutwa nazo, yani Elimu nzuri sana bora unyimwe pesa upewe elimu yani kajiaibisha mpaka akina fetty wakamshangaa, yani mtu unajivunia ushirikina hadharani? SIsi kwetu ushuani hatujazoea uchawi aiseeh, Elimu yetu ndio uchawi wetu, ila babu tale katisha, kamdhalilisha sana mwenzie ata kama kweli hafanyi
Tale humu mbona mie nishawahi kumzungumzia kitambo na ndio maana mtu kama mimi wala hanisumbui akili coz' najua ni mropokaji! Kwanza kwa ufupi, wasanii wengi ni washirikina, tena sana tu lakini wala siamini kwamba ushirikina unaweza kumpaisha mtu unless kama tunataka kuamini kwamba hata akina Nick Minaj nao ni washirikina! Ingekuwa ushirikina unamwezesha mtu, Waafrika tungekuwa mbele kwa kila kitu manake, kwenye mpira ushirikina, lakini Afrika ndo ya mwisho; kwenye filamu full ushirikina, lakini wala hatumo kwenye ramani ya watengeneza filamu bora duniani... hata nyanya tunauza kwa ushirikina lakini bado kwanza tunaongoza kwa umaskini! Hakuna mchawi mkubwa duniani zaidi ya pesa, haya mambo mengine ni upuuzi tu!
 
Mpwa akuambiae ukweli anakupenda... sisi wengine tunakula ban tukichokozwa kwa maana tunafahamu JF ukijifanya mstaarabu watu watakupanda hadi makalioni lakini wewe mpwa unaongoza kwa uchokozi! Hakuna tusi baya kama kumwambia mwanaume mwenzako kwamba atagongwa wakati hajakufanya chochote kile!

Duh maneno yako yanachoma binamu khaa!!,ila wamenichokoza, mi mtu akijifanya chizi mimi ndio raisi wao
 
Witchcraft is a product of a person's lack in critical thinking abilities.

Working smart and perseverance is the talent.

Witch Craft has nothing to do wit making good music.

The best quote of the day.:thumbup::thumbup:
 
Witchcraft is a product of a person's lack in critical thinking abilities.

Working smart and perseverance is the talent.

Witch Craft has nothing to do wit making good music.

I wish you could listen to what babu tale said yesterday, if your brain is conscious enough, you can realize it's obviously the guy is superstitious, he believes in witchcrafts. Once you practise witchcraft you are a witch/wizard , Diamond and his manager they believe in the power of darkness.
 
I wish you could listen to what babu tale said yesterday, if your brain is conscious enough, you can realize it's obviously the guy is superstitious, he believes in witchcrafts. Once you practise witchcraft you are a witch/wizard , Diamond and his manager they believe in the power of darkness.

Good for them then.

No wonder wanakufa ki ajabu ajabu pande zao.
 
Back
Top Bottom