Boss wa Diamond akubali kushiriki kwenye ushirikina

Shostito data mbona hujaniita kwenye huu uzi mamy mimi napitwaaa? Mbona nyingine unaniitaga shoogaaaaa?
 
Last edited by a moderator:
Nataman van na yeye angekuwa mshirikina kama meneja wa domo. Ili na wachezaji wetu wabebe kombe. Ngoja nikamshauri ushirikina lazma bhana kama mou ni mchawi yule ndo maana the bluuuz wametoboa kimataifa.

Hahahah unajua nini unaweza kuwa mchawi katika categories zifuatazo:

1.kumchukia MTU kupita kiasi bila sababu za msingi.

2. Kupiga bao

3.kuwa mjuzi wa kitu Fulani kupita wengine tena unakifanya kwa ufanisi wa hali ya juu( tunaweza kukuita mchawi)

4.kuchukiwa na watu walalahoi na hoehae.

5. Kupendwa na watu wengi kuliko wengine.

6.kila unachofanya au kusema kinageuka dhahabu au trending topic.

7.kula nyapu za mademu wakali wa mjlni.

8.watu kukutumia wewe kama mbeleko ya kupata ugali wao( refer ila kampuni huwa inayoiba nyimbo za watu na kkuza iTunes)

9.wewe kulipwa pesa nyingi kwenye shoo moja na anayejidai ni hasimu wako( kumbe sie wala hana vigezo vya kuwa hasimu wako).

10.kila media Iwe gazetj, tvstation, radio station,social media (twitter,fb,Instagram,jamiiforums,) na kila kinywa cha MTU(anayekupenda na anayekuchukia) vyote kukuzungumzia wewe hahah wewe lazima uwe mchawi.


Nb; kama moja kati ya hivyo inakuhusu basi we mchawi na mshirikina

Hahhahaha ni mtazamo tu.
 

Mimi bado hamna ata moja inayonihusu ndo maana sijatoboza kimataifa....vipi hiyo umekaa kabisa ukaandika kitu kirefu ivyo duu mkuu unajiweza...
 
Haaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaa kumbeeee😕😕😱😱😱:sly:

Ndio ivyo fungua macho utaendelea kuwa wa local tuu hahahaaaaaaaaaaaaa.
"Alikiba akitaka kutoka kimataifa aje nimpe mbinu" kumbe ni hiiiiiiiiu?
Ivi meneger wake yupogo wapi siku zote hajaenda kwenye ndumba tutoboe kimataifa hahahaaaa
 
Mimi bado hamna ata moja inayonihusu ndo maana sijatoboza kimataifa....vipi hiyo umekaa kabisa ukaandika kitu kirefu ivyo duu mkuu unajiweza...

Kwangu ni simpo tu naweza kushusha gazeti hapa nikiamua kufunga kazi veree simpo tena in short time but hahahahah mkuu umekosekana hata kipengele kimoja hapo kweli?
 
Shostito data mbona hujaniita kwenye huu uzi mamy mimi napitwaaa? Mbona nyingine unaniitaga shoogaaaaa?

Mhuuhh'!! Wewe??

Unataka kesh ya fasta.?
Njo nkupeleke njombe unaoza siku saba,, unatoka funza mamilion. Hao funza ndo pesa.

Masharti anaewazoa hao funza awe mumeo na akomae na wewe humohumo rum. Akitoka tu au akiona kinyaa kuwafagia wote mna RIP.
 
Last edited by a moderator:
Kwangu ni simpo tu naweza kushusha gazeti hapa nikiamua kufunga kazi veree simpo tena in short time but hahahahah mkuu umekosekana hata kipengele kimoja hapo kweli?

Yupo wapi nifah? Nime mmiss sana. Ni hayo tu.
 
hahahahahaha,, uko tayari cute b .

Msione watu wana fuba. Wengine walishakabidh viungo vya uzazi.
 
Last edited by a moderator:
Mhuuhh'!! Wewe??

Unataka kesh ya fasta.?
Njo nkupeleke njombe unaoza siku saba,, unatoka funza mamilion. Hao funza ndo pesa.

Masharti anaewazoa hao funza awe mumeo na akomae na wewe humohumo rum. Akitoka tu au akiona kinyaa kuwafagia wote mna RIP.

Unipeleke shoga angu lol nataka nianze kuimba mziki nitoboze kimataifa. Nikipata na shoo za naija naenda kung'arisha
 
Yupo wapi nifah? Nime mmiss sana. Ni hayo tu.

Hahahah simo mie waulize wenzie nasikia amestaafu kwa muda kutenda dhambj(kuchukia watu na fitna)
Ila siku 30 za mfungo zikiisha ni dhambi kwa kwenda mbela mpaka mwakani mfungo mwengine hahahahahh

MUNGU anasanifiwa jamani daah mpaka inasikitisha khaaa!!
 
Yaani nitaweka ata kizazi changu bondi nisizae ili nitoboe kimataifaaa nitalala ata makaburini. Hamna shida nitalelea watoto wa wanaume nitakao kuwa nao nitawaambia waniite mama maana hamna namna uwezo wa kuzaa nitakuwa nimeshaupoteza

Hahaaaaa utafanya vizuri ukiweka kizazi unakua umelia chips kabisa ukitekeleza tu hayo masharti mweeeh utamzidi hadi Beyonce kabisa.
Hata ukipoteza uwezo wa kuzaa utaadopt tu na kuwa mama mlezi usijali kabisa. Wewe fata masharti ya kalumanzila.
 

Mhh wewe inaelekea diamond akikwambia umnyonye dudu utakubali, sio shobo hizi, baba yako aliyekuzaa unamshobokeaga namna hii? Ndomo ana mke anaitwa zari ooh shauri zenu nafasi imejaa
 
Lulu, wema na diamond kwa ushirikina hawana mpimzani, watoto wachawi wale sijawahi kuona, mama ubaya yupo busy sasa ivi anaoroga aingie bungeni mxiue na wataumbuka mwaka huu
 
Lulu, wema na diamond kwa ushirikina hawana mpimzani, watoto wachawi wale sijawahi kuona, mama ubaya yupo busy sasa ivi anaoroga aingie bungeni mxiue na wataumbuka mwaka huu

Naskia waganga wote w singida wake ila tatizo nyota waganga w miaka hii watamla mzigo 2......ubunge labda wa sinza mori
 
Teh teh babu tale anawasanii wengi tu yamoto band, temba, chege lakini cha ajabu anahusishwa diamond peke yake wabongo bhana ingekuwa uchawi unasaidia wasanii kiasi hicho basi hakuna haja za kufanya kazi kwa bidii na ubunifu wa kutosha, hakuna jipya hapa hata psquare waliambiwa wamemtoa mama yao kafara kisa wanafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…