mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Utii bila shurtiUonevuuuu tuuuu huo.
Kila nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria na taratibu zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utii bila shurtiUonevuuuu tuuuu huo.
Hamna kitu apooo. Navitambulisho adi chakwakokitamilikiwa na mpika chips. Acha roho mbayaaa.Utii bila shurti
Kila nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria na taratibu zake
Umepanick nini sasa😂😂😂😂Hamna kitu apooo. Navitambulisho adi chakwakokitamilikiwa na mpika chips. Acha roho mbayaaa.
SIYO HILO PEKEE, LAKINI PIA, BOT WAFUATILIE UTARATIBU WA MIKOPO UNAOFANYWA NA HIZI BENKI KWA WATUMISHI WA SERIKALI HUSUSANI BENKI ZA POSTA NA NMB. KUNA UTAPELI MKUBWA NA DHURUMA.Katika hili, BOT ni kama wamelala, tena usingizi wa pono, kwani bado ziko taasisi za kifedha zinazokaa na kadi za Benki za wateja wanaoenda kuomba mikopo kama moja la shariti la kupewa mikopo wakiamini kukaa na kadi ya mteja ndio security ya fedha zao.
Ukweli ni kwamba, kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, wakopeshaji kukaa na kadi za wateja wao hakutoi tena security ya fedha wanazokopesha kwani siku hizi mtu unaweza kuhamisha fedha kwa kutumia simu ya mkononi mara tu mshahara unapoingia (unapopata sms).
Kwahiyo,wakopeshaji hawa kukaa na kadi ni swala tu la mazoea kwani kama mteja sio muaminifu, anaweza tu kuhamisha fedha kwa kutumia simu yake na kadi isiwe na msaada wowote na zaidi hawezi kwenda kushitaki popote kwani mwenyewe anavunja sheria kukaa na kadi ya Benki ya mteja.
Kitendo cha taasisi hizi ndogo ndogo za kifedha kukaa na kadi za wateja kinaleta usumbufu kwa wateja wao pale wanapokuwa wamesafiri na mishahara ikatoka wakiwa safarini either kikazi, likizo au kuhudhuria misiba na hata mtu anapohitaji huduma kama bank statement n.k.
Hivyo,tunaishauri Benki Kuu kuweka msisitizo wa katazo hili na zaidi waendeshe msako wa kushitukiza tarehe za mwisho wa mwezi mishahara inapotoka ili kuwabaini wale wanaondelea kukiuka sheria.
Kukaa na kadi kunanufaisha mawakala wa mabenki wanaotumia mashine zao kutoa fedha kutoka kwenye akaunti za wateja na kuumiza wateja(wakopaji) kwani makato kwenye hizi mashine ni makubwa tofauti na makato ya kwenye ATM ambayo ni nafuu. Katika hili, naamini mabenki wana nafasi nzuri ya kugundua mawakala wanaoshirikiana na wakopeshaji kutoa fedha kupitia mashine hizi kwa kuangalia transactions zinazofanyika kwa wingi kila mishahara inapotoka.
BoT fuatilieni hali hii na muikomeshe kwani haipendezi na pia si salama kwa watu kutoa namba zao za siri kwa mtu ambae kadi ya benki sio yake.
Watumishi wa nchi hii wanapita kipindi kigumu sana awamu hii na kulazimika kuishi kwa madeni huku kadi zao za benki zikimilikiwa na wakopeshaji wakati sheria hairuhusu.
Wewe utakuwa 'teacher".Mambo yanayoendelea sasa hivi Tanzania Afadhali hata kuliko nyakati za dark ages na Renaissance.
Tupanic na nini nawakati fedhazinapigwa kiroho safiiii. Nawateja wanafulika kila sikuUmepanick nini sasa😂😂😂😂
Wewe kakopeshe ukusanye riba halafu wakija uaweleze uhalali wa biashara yako
Hongera sana, endelea kuzipiga😎😎Tupanic na nini nawakati fedhazinapigwa kiroho safiiii. Nawateja wanafulika kila siku
Mkuu hiyo inaitwa chagua moja. Watoto wasile na wabaki nyumbani au kadi utuachie watoto wale na waende shule.Kwa mfano, Kwenye ATM za benki ya NMB Wilayani Sikonge ,Kuna vijaaa wakurya ndiyo mawakala wa kukopesa,huwa wanashinda pale Benki wakiwa na mamia ya Kadi za wadaiwa.
Hivyo kila anayedaiwa akifika ATM wale vijana wanatoa pesa zao Kisha mdaiwa wanampa pesa kiasi silizosalia na wanabaki na Kadi,Tena mbele ya viongozi wa Benki na asikari walinzi.
Mkuu kuna usemi"kukonda kwa mbwa siyo aibu yake, bali ni ya mwenye mbwa. Hapa namzungumzia mlipaji mshahara. Je unaendana na hali halisi ya sasa?Toka lini mshahara ukakidhi mahitaji ya binadamuu?? Kama ni suala la watumishi kukopa kwenye vibanda umiza, hili suala liko kwa mda mrefu saaana mimi nimeanza kulishuhudia toka miaka ya 2000.
Kwahiyo suala la watumishi kukopakopa kwenye hivi vibanda umiza vinavyoitwa microfinance vya wauza chips hili suala nila mdamrefu saaana rafiki yangu salary slip.
Nikushauli tuu kwamba, serikali haiwezi kuliingilia kati kwakuwa mikokopo hiyo huwa nimakubaliano binafisi kati ya mkopaji na anaye kopesha.
Kwahiyo elimu binafsi ipelekwe kwa watumishi wanaojipeleka huko. Wapo wanaokopa kwa malengo lakini wengine wanakopa huko kwa ajili ya tamaa ya kufanya anasaa.
Kuna hawa YETU MICROFINANCE BANK wanachukua vyeti vya staff wao kama dhamana.Hawajakupora
Wengine wanakabidhi hadi bima za afya
Na sasa wanachukua mpaka vyeti, na vitambulisho kama dhamana
Hali tete
Katika hili, BOT ni kama wamelala, tena usingizi wa pono, kwani bado ziko taasisi za kifedha zinazokaa na kadi za Benki za wateja wanaoenda kuomba mikopo kama moja la shariti la kupewa mikopo wakiamini kukaa na kadi ya mteja ndio security ya fedha zao.
Ukweli ni kwamba, kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, wakopeshaji kukaa na kadi za wateja wao hakutoi tena security ya fedha wanazokopesha kwani siku hizi mtu unaweza kuhamisha fedha kwa kutumia simu ya mkononi mara tu mshahara unapoingia (unapopata sms).
Kwahiyo,wakopeshaji hawa kukaa na kadi ni swala tu la mazoea kwani kama mteja sio muaminifu, anaweza tu kuhamisha fedha kwa kutumia simu yake na kadi isiwe na msaada wowote na zaidi hawezi kwenda kushitaki popote kwani mwenyewe anavunja sheria kukaa na kadi ya Benki ya mteja.
Kitendo cha taasisi hizi ndogo ndogo za kifedha kukaa na kadi za wateja kinaleta usumbufu kwa wateja wao pale wanapokuwa wamesafiri na mishahara ikatoka wakiwa safarini either kikazi, likizo au kuhudhuria misiba na hata mtu anapohitaji huduma kama bank statement n.k.
Hivyo,tunaishauri Benki Kuu kuweka msisitizo wa katazo hili na zaidi waendeshe msako wa kushitukiza tarehe za mwisho wa mwezi mishahara inapotoka ili kuwabaini wale wanaondelea kukiuka sheria.
Kukaa na kadi kunanufaisha mawakala wa mabenki wanaotumia mashine zao kutoa fedha kutoka kwenye akaunti za wateja na kuumiza wateja(wakopaji) kwani makato kwenye hizi mashine ni makubwa tofauti na makato ya kwenye ATM ambayo ni nafuu. Katika hili, naamini mabenki wana nafasi nzuri ya kugundua mawakala wanaoshirikiana na wakopeshaji kutoa fedha kupitia mashine hizi kwa kuangalia transactions zinazofanyika kwa wingi kila mishahara inapotoka.
BoT fuatilieni hali hii na muikomeshe kwani haipendezi na pia si salama kwa watu kutoa namba zao za siri kwa mtu ambae kadi ya benki sio yake.
Watumishi wa nchi hii wanapita kipindi kigumu sana awamu hii na kulazimika kuishi kwa madeni huku kadi zao za benki zikimilikiwa na wakopeshaji wakati sheria hairuhusu.
Hakuna kitu kinachoitwa MSHAHARA WA MWISHO WA MWEZI kiweze kumlinda binadamu na mahitaji yake kwa wakati husika. Hata leo wakisema kila mtumishi alipwe bilioni moja kwa mwezi ujue ukienda dukani kununua kipande cha kanga ya mama nacho kitauzwa milioni miamoja, bia moja nayo itauzwa million mbili na nusu. Kwahiyo, kupanda kwa mishahala hata iweje sahau kutajirika kwa njia ya mshahara wa mwisho wa mweziii. Au toa mfano wowote wa bilionea yoyote duniani alitajirika kwa kulipwa mshahara mkubwaaa.Mkuu kuna usemi"kukonda kwa mbwa siyo aibu yake, bali ni ya mwenye mbwa. Hapa namzungumzia mlipaji mshahara. Je unaendana na hali halisi ya sasa?
Huu ni wizi wa mchana kweupe, taasisi za kifedha ziwafatilie kwa karibu sidhani Kama Kuna taasisi binafsi ikaruhusiwa kufanya biashara ya kitapeli Kama hii, na riba ya 50% TRA wanalitambua hilo? Na wanatoza hiyo kodi?Tatizo lingine kubwa ni sheria ya moja ya tatu inayofanya watumishi wengi wasikopesheke katika mabenki na hivyo kulazimika kukopa katika hizi taasisi za mitaani.
Mimi nakopesha bila leseni kwa riba kubwa na ninafanya blogging bila leseni.Kwa mujibu wa regulators kupitia sheria, taratibu na miongozo adhabu kali itatolewa kwa yoyote unayekopesha fedha nje utaratibu sio kwa anayekopa
Usishangae ukijikuta keko kwa ajili ya riba ya elfu30 uliyomtoza mwananchi
Onyesha au tuelekeze kituo chako kilipo tuanzie hapoMimi nakopesha bila leseni kwa riba kubwa na ninafanya blogging bila leseni.
Haya kashtakini BoT na TCRA nikamatwe. Swine
HIYARI YASHINDA UTUMWA HESHIMU MAKUBALIANO MLIYOINGIA ULIPOKEA PESA USIONE UCHUNGU KULIPA DENI NDG LIPA ILI UKOPE TENA NA TENAKatika hili, BOT ni kama wamelala, tena usingizi wa pono, kwani bado ziko taasisi za kifedha zinazokaa na kadi za Benki za wateja wanaoenda kuomba mikopo kama moja la shariti la kupewa mikopo wakiamini kukaa na kadi ya mteja ndio security ya fedha zao.
Ukweli ni kwamba, kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, wakopeshaji kukaa na kadi za wateja wao hakutoi tena security ya fedha wanazokopesha kwani siku hizi mtu unaweza kuhamisha fedha kwa kutumia simu ya mkononi mara tu mshahara unapoingia (unapopata sms).
Kwahiyo,wakopeshaji hawa kukaa na kadi ni swala tu la mazoea kwani kama mteja sio muaminifu, anaweza tu kuhamisha fedha kwa kutumia simu yake na kadi isiwe na msaada wowote na zaidi hawezi kwenda kushitaki popote kwani mwenyewe anavunja sheria kukaa na kadi ya Benki ya mteja.
Kitendo cha taasisi hizi ndogo ndogo za kifedha kukaa na kadi za wateja kinaleta usumbufu kwa wateja wao pale wanapokuwa wamesafiri na mishahara ikatoka wakiwa safarini either kikazi, likizo au kuhudhuria misiba na hata mtu anapohitaji huduma kama bank statement n.k.
Hivyo,tunaishauri Benki Kuu kuweka msisitizo wa katazo hili na zaidi waendeshe msako wa kushitukiza tarehe za mwisho wa mwezi mishahara inapotoka ili kuwabaini wale wanaondelea kukiuka sheria.
Kukaa na kadi kunanufaisha mawakala wa mabenki wanaotumia mashine zao kutoa fedha kutoka kwenye akaunti za wateja na kuumiza wateja(wakopaji) kwani makato kwenye hizi mashine ni makubwa tofauti na makato ya kwenye ATM ambayo ni nafuu. Katika hili, naamini mabenki wana nafasi nzuri ya kugundua mawakala wanaoshirikiana na wakopeshaji kutoa fedha kupitia mashine hizi kwa kuangalia transactions zinazofanyika kwa wingi kila mishahara inapotoka.
BoT fuatilieni hali hii na muikomeshe kwani haipendezi na pia si salama kwa watu kutoa namba zao za siri kwa mtu ambae kadi ya benki sio yake.
Watumishi wa nchi hii wanapita kipindi kigumu sana awamu hii na kulazimika kuishi kwa madeni huku kadi zao za benki zikimilikiwa na wakopeshaji wakati sheria hairuhusu.
KariakooOnyesha au tuelekeze kituo chako kilipo tuanzie hapo