Kiongozi. Unashangaa BOT kupewa maagizo na wanasiafu, juzi Kati wataalam wa afya waliambiwa wasivae barakoa Hadi waziri ambae Ni daktari akakubali na kulivalia njuga huku akihatarisha Maisha ya watanzania.
Dada Joy nae aliambiwa hata wanafunzi wa PCB na PCM wasomeshwe historia akakubali bila hata kuwaconsult watu wa mitaala.
Bahati nzuri.....
Dada Joy nae aliambiwa hata wanafunzi wa PCB na PCM wasomeshwe historia akakubali bila hata kuwaconsult watu wa mitaala.
Bahati nzuri.....