dabiliuW
Senior Member
- Mar 6, 2021
- 138
- 178
Full stop...Huu mjadala utakuwa mzuri ikiwa tutapata baadhi ya ripoti za indicators kama-
- Taarifa za ajira.
- Taarifa za makusanyo.
- Ukuaji wa Biashara.
- Taarifa za uzalishaji.
- FDI nk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Full stop...Huu mjadala utakuwa mzuri ikiwa tutapata baadhi ya ripoti za indicators kama-
- Taarifa za ajira.
- Taarifa za makusanyo.
- Ukuaji wa Biashara.
- Taarifa za uzalishaji.
- FDI nk.
Ni Mwigulu namjua😂😂😂😂😂Nina wasiwasi izo dta nbs hawajaweka na walisema atatangaza raisi ila yeye anazo za census 2022 huyu mwigulu au makamba
Huyu mpuuzi amezoea sana kupika data.Umepika takwimu wacha utapeli😂😂😂NBS hawajatoa!
Mimi nachotaka kusikia nchi imerudi uchumi wa kati. Longolongo zenu sina haja nchi ikue kiwango gani kwa mwezi mnajua nyie chawa.
Pole sana hater..Bado hizi juhudi za kupika data hazimtoi Mwigu ktk hatari ya Kufukuzwa.
Yaani utoe hela kwenye mikono ya watu kupitia tozo, hela ambazo wangetumia kununulia bidhaa = reduction in purchasing power.
High inflation duniani kutokana na bei ya nishati na chakula = reduction in purchasing power
Variable zote hizo duniani zinakwambia kutakuwa na contraction ya uchumi.
Uchumi ni science events zilizopo zinabashiri hali ya uchumi. Ndio maana sidhani kama kuna nchi ina project growth zaidi ya zile ambazo serikali ina vyanzo vya nishati.
Mambo mengine ndio maana duniani tunaonekana watu wa ovyo; ata ukiangalia news za kimataifa wakizungumzia masoko ya hisa africa na E.A unaweza sikia shares za masoko ya Uganda na Kenya; lakini kamwe Tanzania is not mentioned ni kwamba kuna data za ovyo na kuna kampuni DSE zinasajiliwa bila ya vigezo sahihi mfano ‘Swala Oil’ ilikuwa aina vigezo kabisa vya kusajiliwa popote duniani zaidi ya Tanzania.
Mambo kama haya yanafanya dunia ituone watu wa ovyo. Njia pekee serikali inaweza ongopa uchumi kukua ni kupitia government investments maana bi Tozo katupa mihela kweli TAMISEMI, kilimo na nishati (be it nyingi zimeenda mifukoni mwa watu).
Vinginevyo bila ya government expenditure kama main variable hakuna mtu timamu atasikiliza hizo hadithi zaidi ya kuonyesha kiwango cha wapuuzi tuliowapa nafasi za juu kama hawajui ata muda wa kuongopa.
Tupe za uhalisia mkuu ikiwa exports zimeongezek,utalii umeongezeka,huduma mbalimbali zinaongezeka, makusanyo ya serikali yanaongezeka nk wewe unasema ni blaa blaa?
Saizi hadi Vijijini huko Kuna lami [emoji116]
Lete zako zenye uhalisiaHizi ni takwimu za kisiasa, hazina uhalisia
Mkuu Sunk wala usi- personalise mambo, lengo ni wananchi wote tufaidike.
Uchumi una principle zake. Na hauhitaji blah blah.
Mfano, Unawezaje kusema uchumi unakua kwa 6% wakati ajira zinafungwa kila kukicha, makampuni makubwa yanafunga biashara, wananchi wanapunguza matumizi kwa sababu ya ughali wa maisha, makusanyo ya serikali yanapungua, uzalishaji wa viwandani unapungua? Utawezaje kusema confidently uchumi unakua mbele ya mtu timamu?
Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa PROXY indicators, hii hutumika sana hasa wakati ambao kupata data kamili ya kitu fulani unakuwa mgumu.
●Mfano Mimi naweza nisijue exactly kama kipato na hali bora ya maisha ya Extrovert yamebadilika, ila nachoweza kufanya ni kutumia proxy ways kwa kuangalia-
-Zamani alikuwa anaendesha bito leo anaendesha Range.
-Au alikuwa analala kwenye chumba kimoja leo yupo kwenye mansion nk.
*Je, unafikiri ukubwa wa inflation unafanya watu watumia zaidi?
Uchafuu
Huo ujinga ulizikwa Chato,chuki zako hazitakusaidia👇DANGANYA DANGAYA YA AWAMU YA 5 IMERUDI TENA
Safi sana TanzaniaNawasalimu kwa jina la JMT,
Kwa mujibu wa Gavana wa BOT Prof. Luaga, uhumi wa Tanzania umekuwa kwa asilimia 5.4% kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022 kinyume na malengo ya matarajio yaliwekwa ya ukuaji wa asilimia 4.7%.
Moja ya sekta zilizochangia ukuaji mkubwa ni kuimarika kwa sekta ya utalii.
Kwa mwendo huu "The future is bright na nchi iko kwenye right track", in Jiwe's voice.
Kongole nyingi sana kwa Rais Samia na Waziri wa Fedha Comrede Mwigulu.👇View attachment 2367489View attachment 2367490
Kuanzia 2025 hadi 2030 tutakuwa tumefika maana mingi ya miradi mikubwa inayoendelea itakuwa imemalizika.Bado kidogo tunafika uchumi wa juu kabisa...