BOT: Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 5.4%. Hongera Rais Samia, hongera Comrade Mwigulu

BOT: Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 5.4%. Hongera Rais Samia, hongera Comrade Mwigulu

Kazi nzuri ya serikali ya awamu ya 6 inakuza biashara 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220927-131947.png
    Screenshot_20220927-131947.png
    75.8 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220927-132020.png
    Screenshot_20220927-132020.png
    56.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220927-132042.png
    Screenshot_20220927-132042.png
    49.1 KB · Views: 6
Sio biashara tuu hata mikopo ya biashara kwa sekta binafsi imekua kwa Kasi kubwa Sana 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220927-131832.png
    Screenshot_20220927-131832.png
    77.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220927-131856.png
    Screenshot_20220927-131856.png
    49.3 KB · Views: 5
Ni Kweli kabisa, Uchumi wa Wala RUSHWA umekua sana. Tena sanaaa.

Yaani watu wachache wamejilimbikizia pesa nyingi ambazo ukitafuta wastani Kwa Watanzania ml 60 utaonekana umekua.

Uchumi wa KUNDI DOGO unajumlishwa na Uchumi wa hohehahe wengi halafu unatafuta wastani, pesa za matajiri wachache ktk mahesabu zinanuanyua Uchumi wa maskini kwenye MAKARATASI.
 
🤣🤣🤣
Mimi nachotaka kusikia nchi imerudi uchumi wa kati. Longolongo zenu sina haja nchi ikue kiwango gani kwa mwezi mnajua nyie chawa.
Sisi tuliumia sana. Jpm kaacha nchi uchumi wa kati kuingia tu huyo 'koko' akagawa hela ovyo kwa wezi na fisadi katurudisha chini uchumi ukashuka.
Mwenzake alikua anabana. Kulipa madeni ya serikali kwa wafanyabiashara wa ndani hadi ahakiki. Madeni mengi ya ndani hua ni feki kwa kutolewa huduma hewa au kutumika viwango vya wizi. Sasa mtu kaingia tu na rafiki zake wafanyabiashara fisadi kasema madeni yote ya ndani lipa.
 
Bado hizi juhudi za kupika data hazimtoi Mwigu ktk hatari ya Kufukuzwa.
 
Bado hizi juhudi za kupika data hazimtoi Mwigu ktk hatari ya Kufukuzwa.
Pole sana hater..

Moja ya kiashiria muhimu kabisa Cha kuimarika kwa uchumi ni kuongezeka kwa makusanyo ya Mapato..

Soma hiyoo 👇
 

Attachments

  • 20221001_231632.jpg
    20221001_231632.jpg
    258.9 KB · Views: 6
Yaani utoe hela kwenye mikono ya watu kupitia tozo, hela ambazo wangetumia kununulia bidhaa = reduction in purchasing power.

High inflation duniani kutokana na bei ya nishati na chakula = reduction in purchasing power

Variable zote hizo duniani zinakwambia kutakuwa na contraction ya uchumi.

Uchumi ni science events zilizopo zinabashiri hali ya uchumi. Ndio maana sidhani kama kuna nchi ina project growth zaidi ya zile ambazo serikali ina vyanzo vya nishati.

Mambo mengine ndio maana duniani tunaonekana watu wa ovyo; ata ukiangalia news za kimataifa wakizungumzia masoko ya hisa africa na E.A unaweza sikia shares za masoko ya Uganda na Kenya; lakini kamwe Tanzania is not mentioned ni kwamba kuna data za ovyo na kuna kampuni DSE zinasajiliwa bila ya vigezo sahihi mfano ‘Swala Oil’ ilikuwa aina vigezo kabisa vya kusajiliwa popote duniani zaidi ya Tanzania.

Mambo kama haya yanafanya dunia ituone watu wa ovyo. Njia pekee serikali inaweza ongopa uchumi kukua ni kupitia government investments maana bi Tozo katupa mihela kweli TAMISEMI, kilimo na nishati (be it nyingi zimeenda mifukoni mwa watu).

Vinginevyo bila ya government expenditure kama main variable hakuna mtu timamu atasikiliza hizo hadithi zaidi ya kuonyesha kiwango cha wapuuzi tuliowapa nafasi za juu kama hawajui ata muda wa kuongopa.

Kitu kizuri
 
Tupe za uhalisia mkuu ikiwa exports zimeongezek,utalii umeongezeka,huduma mbalimbali zinaongezeka, makusanyo ya serikali yanaongezeka nk wewe unasema ni blaa blaa?

Saizi hadi Vijijini huko Kuna lami [emoji116]

Uchafuu
 
Mkuu Sunk wala usi- personalise mambo, lengo ni wananchi wote tufaidike.

Uchumi una principle zake. Na hauhitaji blah blah.

Mfano, Unawezaje kusema uchumi unakua kwa 6% wakati ajira zinafungwa kila kukicha, makampuni makubwa yanafunga biashara, wananchi wanapunguza matumizi kwa sababu ya ughali wa maisha, makusanyo ya serikali yanapungua, uzalishaji wa viwandani unapungua? Utawezaje kusema confidently uchumi unakua mbele ya mtu timamu?

Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa PROXY indicators, hii hutumika sana hasa wakati ambao kupata data kamili ya kitu fulani unakuwa mgumu.
●Mfano Mimi naweza nisijue exactly kama kipato na hali bora ya maisha ya Extrovert yamebadilika, ila nachoweza kufanya ni kutumia proxy ways kwa kuangalia-
-Zamani alikuwa anaendesha bito leo anaendesha Range.
-Au alikuwa analala kwenye chumba kimoja leo yupo kwenye mansion nk.

*Je, unafikiri ukubwa wa inflation unafanya watu watumia zaidi?

Madini haya
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

Kwa mujibu wa Gavana wa BOT Prof. Luaga, uhumi wa Tanzania umekuwa kwa asilimia 5.4% kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022 kinyume na malengo ya matarajio yaliwekwa ya ukuaji wa asilimia 4.7%.

Moja ya sekta zilizochangia ukuaji mkubwa ni kuimarika kwa sekta ya utalii.

Kwa mwendo huu "The future is bright na nchi iko kwenye right track", in Jiwe's voice.

Kongole nyingi sana kwa Rais Samia na Waziri wa Fedha Comrede Mwigulu.👇View attachment 2367489View attachment 2367490
Safi sana Tanzania
 
Rais Samia hafanyi mzaha na Uchumi na yuko serious na kadhamiria kweli kweli..

New EPZ at Mkinga EPZ-Tanga,zaidi ya Bil.700 zinaenda kuwekezwa👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220930-092921.png
    Screenshot_20220930-092921.png
    111.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom