BoT yazuia matumizi ya pesa ya kidigitali - Crypto currency

BoT yazuia matumizi ya pesa ya kidigitali - Crypto currency

wazee wa forex tunahusika au ?
 
Kaka Achana na transaction ,
Kuna Watu wamewekeza milion of money?
Inamaana kama serikali imeshindwa kuitambua ! Vp kuhusu hao watu?
Naje vp tutafika uchumi wa kati kwa style hii
Nchi inajitenga.

Ina maana wameshindwa kufuata sheria za kimataifa kuhusu hizi transaction?
Pumbavu kabisa
 
Unashauriwa kunyamaza kama hujui, bitcoin ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine, btc imetengeneza mabilionare especially wale walio ikubali mwanzoni.
Nchi za wenzetu kuna ATM mashine za kuwithdraw btc ?
Bitcon inatumika kukopa kwny baadhi ya institutions kama dhamana. Kama ww ulikushinda basi
Tuliwaambia muachane na Mambo ya Bitcoin hamkuelewa
 
Kaka Achana na transaction ,
Kuna Watu wamewekeza milion of money?
Inamaana kama serikali imeshindwa kuitambua ! Vp kuhusu hao watu?
Naje vp tutafika uchumi wa kati kwa style hii
Kuna tofauti ya kuzuia transaction na kutokuitambua..

Wanaposema hawaitambui ni kwamba likitokea la kutokea wao hawahusiki..its on your own risk
 
Habari wana jukwaa,
Kabla ya kuanza huu uzi napenda kunukuu maneno ya marehemu Ruge" Ogopa sana Mungu na technology" .
Haya sasa naomba niulize je tunawezaje kusonga mbele pasina technology?
Na je technologia inazuirika?
Zipi hasara za kuizuia au kuchelewa kuifahamu?
Binadamu amepitia zama nyingi sana kama zama za mawe, chuma n.k
Sasa lengo la zama au vipindi vyote hivyo ni kuweza kuyakabiri mazingira na changamoto za kiuchumi , kiutamaduni n.k ndani yake. Zama tulizonazo sasa ni zama za sayansi na technologia na hii ni katika nyanja za kiuchumi, kiutamaduni , na kijamii mambo mengi yanaenda na sayansi.
Ajabu ni kwamba Bot anashindwa kuendana nayo kwa sababu zaifu. Bot kama chombo kikubwa cha usimamizi wa fedha imetangaza kutoitambua pesa ya kidigitari maarufu kama Cryptocurrence.
nahii imekuja kutokana na Wimbi la watu wengi kuingia kuwekeza huko. Namaana yake hii biashara inaenda kufa Tz, Je hii ni sawa?
Na vp kuhusu watu waliyowekeza mamilioni huko?
Ila vipi fursa ya biashara hii kwa siku za usoni?
China ilikuwa miongoni mwa nchi zilizo piga marufuku biashara hii. Lakini sasa imeruhusu hii biashara na kusababisha kuongezeka thaman nafikiri kwa watu mnaofatilia mmeliona hili, Marekani ni moja ya nchi ambayo mabilionea wake wamewekeza kwenye Cryptocurrence.
Nasasa ukienda nchi zilizoendelea kuna ATM za Cryptocurrence (Bitcoin), pia
Kuna makampuni yanayotoa mikopo kwa dhamana ya Bitcoin.
Je Tz kwa kupitia BOT hawaoni fursa ya nchi kubwa kuwekeza huko. Kama sijakosea hata Rais wa Kenya Mr.kenyata aliongelea positive hii biashara . Tz tunakwama wapi?
Kwamtazamo wangu naenda kinyume na BOT kwa kutoa sababu dhaifu.
View attachment 1261444
Kwann serikali inatabia zakibwengu hivi
 
Habari wana jukwaa,
Kabla ya kuanza huu uzi napenda kunukuu maneno ya marehemu Ruge" Ogopa sana Mungu na technology" .
Haya sasa naomba niulize je tunawezaje kusonga mbele pasina technology?
Na je technologia inazuirika?
Zipi hasara za kuizuia au kuchelewa kuifahamu?
Binadamu amepitia zama nyingi sana kama zama za mawe, chuma n.k
Sasa lengo la zama au vipindi vyote hivyo ni kuweza kuyakabiri mazingira na changamoto za kiuchumi , kiutamaduni n.k ndani yake. Zama tulizonazo sasa ni zama za sayansi na technologia na hii ni katika nyanja za kiuchumi, kiutamaduni , na kijamii mambo mengi yanaenda na sayansi.
Ajabu ni kwamba Bot anashindwa kuendana nayo kwa sababu zaifu. Bot kama chombo kikubwa cha usimamizi wa fedha imetangaza kutoitambua pesa ya kidigitari maarufu kama Cryptocurrence.
nahii imekuja kutokana na Wimbi la watu wengi kuingia kuwekeza huko. Namaana yake hii biashara inaenda kufa Tz, Je hii ni sawa?
Na vp kuhusu watu waliyowekeza mamilioni huko?
Ila vipi fursa ya biashara hii kwa siku za usoni?
China ilikuwa miongoni mwa nchi zilizo piga marufuku biashara hii. Lakini sasa imeruhusu hii biashara na kusababisha kuongezeka thaman nafikiri kwa watu mnaofatilia mmeliona hili, Marekani ni moja ya nchi ambayo mabilionea wake wamewekeza kwenye Cryptocurrence.
Nasasa ukienda nchi zilizoendelea kuna ATM za Cryptocurrence (Bitcoin), pia
Kuna makampuni yanayotoa mikopo kwa dhamana ya Bitcoin.
Je Tz kwa kupitia BOT hawaoni fursa ya nchi kubwa kuwekeza huko. Kama sijakosea hata Rais wa Kenya Mr.kenyata aliongelea positive hii biashara . Tz tunakwama wapi?
Kwamtazamo wangu naenda kinyume na BOT kwa kutoa sababu dhaifu.
View attachment 1261444
Cryptoccurency haiepukiki katika dunia tunayoishi nayo Sasa. Sema mabenki yanajaribu kuiepuka sababu dhumuni la Bitcoin ni kuondoa paper money na kuziondoa benki Kama financial middle man duniani. Bitcoin ikishika hatamu mabenki yanakufa Cha mende.

Ukiona kitu Hadi Billget mwenye world class financial advisor Kainvest ujue ni legitimate.
 
Cryptoccurency haiepukiki katika dunia tunayoishi nayo Sasa. Sema mabenki yanajaribu kuiepuka sababu dhumuni la Bitcoin ni kuondoa paper money na kuziondoa benki Kama financial middle man duniani. Bitcoin ikishika hatamu mabenki yanakufa Cha mende.

Ukiona kitu Hadi Billget mwenye world class financial advisor Kainvest ujue ni legitimate.
Fact
 
Kuna tofauti ya kuzuia transaction na kutokuitambua..

Wanaposema hawaitambui ni kwamba likitokea la kutokea wao hawahusiki..its on your own risk
Sio kutohusika tu, Kuna wafanyabiashara wanaouza Bitcoin kwa pesa ya Tshs kwa maana yao BOT hao pia wanatenda kosa kisheria na wanauwezo was kuwafungulia mashtaka.
 
Ni maamuzi ya busara ambayo yamekuja kwa kuchelewa.

Hizi biashara za janja janja ni sumu kwa kizazi kijacho.

Sasa ni zamu ya makamari ya Wachina na michezo ya kubet, fyekelea mbali.
Ujui unachokiongea ww ni smart kuliko billagate kwny biashara ?
Kwahiyo marekani china Na ulaya nzima ni wajinga kutoizuia kitu usicho kijua ni kwamba haizuiliki ila nakupa pole kwa kutotambua mapema
 
Tuliwaambia muachane na Mambo ya Bitcoin hamkuelewa
ACF8C2CE-24FC-478B-AF01-85DFAE3B65F8.jpeg


Member wa 2013 alafu hamna kitu iichwani
 
Sio kutohusika tu, Kuna wafanyabiashara wanaouza Bitcoin kwa pesa ya Tshs kwa maana yao BOT hao pia wanatenda kosa kisheria na wanauwezo was kuwafungulia mashtaka.
Shida ikwapi si kila mtu anasaka mkwanja kivyake
 
Cryptoccurency haiepukiki katika dunia tunayoishi nayo Sasa. Sema mabenki yanajaribu kuiepuka sababu dhumuni la Bitcoin ni kuondoa paper money na kuziondoa benki Kama financial middle man duniani. Bitcoin ikishika hatamu mabenki yanakufa Cha mende.

Ukiona kitu Hadi Billget mwenye world class financial advisor Kainvest ujue ni legitimate.

sidhan: nahisi wamefanya hivi mpaka elimu itolewe ya kutosha kwanza: nikupe mfano, bitcoin kuna kipindi ilivuma sana tz: lakini kuna watu walitumia kutoelewa kwa waafrika wakaanzisha sub bitcoin ambazo zilikua ni utapeli, watu waliwekeza pesa zao sana kipindi 1 coin inaiuzwa $5000, but market ilicrash watu wakaanza kulilia serikali juu ya huu utapeli, wakati ilikua ni ishue ya minning tu
 
Ndio tatizo letu watanzania huwa hatutaki changamoto mpya ila kwa teknolojia ya hali ya juu iliyotumika katika sarafu ya bitcoin ningeshauri wakae pembeni maana kama mmarekani kanyoosha mikono wataweza wao kweli

Wanachoweza kufanya serikali ni kuzuia bitcoin exchange markets lakini kuna decentralized bitcoin exchange zimeanzishwa ambazo haziwezi kuzuiwa na MTU

Huko kwa jirani zetu Rwanda & Kenya wao wanafikilia kutengeneza block chain ya fedha zao.Anyway watz tutaendelea kuwa mabichwa ya wendawazimu mpaka yesu atakaporudi
 
Kaka Achana na transaction ,
Kuna Watu wamewekeza milion of money?
Inamaana kama serikali imeshindwa kuitambua ! Vp kuhusu hao watu?
Naje vp tutafika uchumi wa kati kwa style hii
Wanashindwa vipi ku import rules kutoka nchi zingine.
Kama ambavyo wanaiga technology. Basi kama vipi wapige marufuku matumizi ya simu pia
 
Back
Top Bottom