Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Hawana ubavu hao malofa wakumpana na fedha za mitandaoniTuliwaambia muachane na Mambo ya Bitcoin hamkuelewa
Yes kama tunao wakati wetu mwingineTunaweza kupingana na nyakati??
Kadi za kawaida zenyewe vipi?Ha ha ha wanataka tutumie visa na Mastercard MKUU, even ipay imepigwa vannes no international translation in tz direct
Yap Is this no transaction direct, but kama unavisa na Mastercard unaweza fanya transaction, alternatives labda maswala y'a skrill na webmoney but sina hakika sana watu wa benk watusaidieKadi za kawaida zenyewe vipi?
*yap i think...... [emoji121]Yap Is this no transaction direct, but kama unavisa na Mastercard unaweza fanya transaction, alternatives labda maswala y'a skrill na webmoney but sina hakika sana watu wa benk watusaidie
Mkuu tatizo asilimia kubwa ya watanzania tukifikiria utajiri wazo la kwanza ni biashara gani nitakayoifanya ila swali la wapi naweza weka pesa zangu zikakua na kuongezeka kwa kutumia akili tu hizo huwa wengi hawazifikirii na neno work smart and not hard nimekuja kulielewa baada ya kufanya uwekezaji katika kichwa kabla ya kuwekeza kwenye biashara yoyote, in fact unakuwa na alternatives kibao za kuhifadhi pesa zako while upo nyumbani na familia na pesa zinakua.How about govement of china ??
How about japani ?
How about Uk ?
Are they fool ?
Until to allow btc to destroy their economic What you don't know m pesa it's was started like btc ?
Siku utakapoijua utakuwa umechelewa
hapo wamezuia au kutahadharisha uma...pufuuuuuHabari wana jukwaa,
Kabla ya kuanza huu uzi napenda kunukuu maneno ya marehemu Ruge "Ogopa sana Mungu na technology".
Haya sasa naomba niulize je tunawezaje kusonga mbele pasipo technology? Na je teknolojia inazuilika? Zipi hasara za kuizuia au kuchelewa kuifahamu?
Binadamu amepitia zama nyingi sana kama zama za mawe, chuma n.k. Sasa lengo la zama au vipindi vyote hivyo ni kuweza kuyakabili mazingira na changamoto za kiuchumi, kiutamaduni n.k ndani yake.
Zama tulizonazo sasa ni zama za sayansi na teknolojia na hii ni katika nyanja za kiuchumi, kiutamaduni, na kijamii mambo mengi yanaenda na sayansi.
Ajabu ni kwamba BoT anashindwa kuendana nayo kwa sababu dhaifu. BoT kama chombo kikubwa cha usimamizi wa fedha imetangaza kutoitambua pesa ya kidigitali maarufu kama Cryptocurrency.
Na hii imekuja kutokana na Wimbi la watu wengi kuingia kuwekeza huko. Na maana yake hii biashara inaenda kufa Tanzania. Je hii ni sawa?
Na vipi kuhusu watu waliyowekeza mamilioni huko? Ila vipi fursa ya biashara hii kwa siku za usoni?
China ilikuwa miongoni mwa nchi zilizopiga marufuku biashara hii. Lakini sasa imeruhusu hii biashara na kusababisha kuongezeka thamani nafikiri kwa watu mnaofuatilia mmeliona hili, Marekani ni moja ya nchi ambayo mabilionea wake wamewekeza kwenye Cryptocurrency.
Na sasa ukienda nchi zilizoendelea kuna ATM za Cryptocurrency (Bitcoin), pia
Kuna makampuni yanayotoa mikopo kwa dhamana ya Bitcoin.
Je Tanzania kwa kupitia BoT hawaoni fursa ya nchi kubwa kuwekeza huko. Kama sijakosea hata Rais wa Kenya Mr. Kenyatta aliongelea positive hii biashara.
Tanzania tunakwama wapi? Kwa mtazamo wangu naenda kinyume na BoT kwa kutoa sababu dhaifu.
View attachment 1261444
Naunga mkono hoja, umenena vema Vida1:Ninapotoa reference ya Billgate nataka upate picha ya taasisi yenye washauri makini na wasomi wa kiwango Cha dunia zaidi ya 500 wanaofanya utafiti na kumshauri boss Billgate aweke hela zake au akaushe.
Wewe unadhani Bakheressa anatoa hela hovyo hovyo kwa Sasa. Anatoa soon anaposhauriwa na board of directors ya financial advisors. Ndio maana hawezo kufail kiboya tena.
Umesikia kijana wangu?
HahahaaaaaNaelewa vizuri ninachokiandika, naielewa vizuri Forex, naielewa vizuri hiyo cryptocurrence na makandokando yake, Watanzania bado hatuko tayari kwa mambo haya.
Usijekuiga kila alifanyalo Billgates yule mwenzio hata University hakumaliza, sasa na wewe muige kula boom, drop out studies University halafu ndio utaijuwa tofauti ya Marekani na vinchi vya kusadikika.
Hamna hatari yoyote kwa hizi shithole countries mbona vitu vingi tu vimepigwa marufuku k.v cd fake,ganja,machangu nk. lakini bado vinaonekana mitaani
Kama ndio hivyo hapo poa lakini kwa kutaja hivyo vifungu vya sheria hiyo ni zaidi ya tahadhariAcha kupotosha, hawajatoa zuio, bali wametoa tahadhari kwamba wao hawako tayari kuidhamini pesa hiyo ya kimtandao. Tumia akili.
Rudia kusoma mkuu, sija mpotosha mtu nimeongelea mawazo yangu kutokana na kutokana na ukuaji wa sciences n'a technologie.Acha kupotosha, hawajatoa zuio, bali wametoa tahadhari kwamba wao hawako tayari kuidhamini pesa hiyo ya kimtandao. Tumia akili.
Acha kupotosha, hawajatoa zuio, bali wametoa tahadhari kwamba wao hawako tayari kuidhamini pesa hiyo ya kimtandao. Tumia akili.
Uwo utapeli na wajinga ndo wanaoingia humo na mifumo inayofanana na hiyoAlliance,Qnet na global nao nasubir wapigwe ban ya milele