BoT zifungeni Bureau de Change zilizofungwa wakati wa Hayati Magufuli

BoT zifungeni Bureau de Change zilizofungwa wakati wa Hayati Magufuli

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
 
Sahih kbsaa ktk mji wa Arusha maduka Ni mengi mno na walivyo porwa mitaji Yao na jembe walifyata na hatujawahi kusiki hbr za dola kuadimika na mijiz kina madelo ndio wamefeli Ni vzr sna maduka haya yakawa regulated upyaa

Kwanza najiuliza wapemata wapi pesa za kuafanya biashra hzo wakt jpm aliwanyanganya mitaji
 
Sahih kbsaa ktk mji wa Arusha maduka Ni mengi mno na walivyo porwa mitaji Yao na jembe walifyata na hatujawahi kusiki hbr za dola kuadimika na mijiz kina madelo ndio wamefeli Ni vzr sna maduka haya yakawa regulated upyaa

Kwanza najiuliza wapemata wapi pesa za kuafanya biashra hzo wakt jpm aliwanyanganya mitaji
Mambo ya ajabu sana. Chuki dhidi ya JPM inawapofusha, wanabadilisha kila kitu hata yale mazuri.
 
Sahih kbsaa ktk mji wa Arusha maduka Ni mengi mno na walivyo porwa mitaji Yao na jembe walifyata na hatujawahi kusiki hbr za dola kuadimika na mijiz kina madelo ndio wamefeli Ni vzr sna maduka haya yakawa regulated upyaa

Kwanza najiuliza wapemata wapi pesa za kuafanya biashra hzo wakt jpm aliwanyanganya mitaji

Unauliza wamepata wapi mitaji? Hilo niswali moja la miskini. Watu wana struggle 24/7 day in and out kuinuka.
 
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Walikwisha zifunga sasa unataka wazifunge tena!
 
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Hyo ni bei ya kuuza , ukinunua ni 2580
 
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

JPM hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya JPM kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,500! Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Mwezi uliyopita dollar ilikuwa ni sawa Tsh 2400 leo naangalia dollar moja ni sawa na 2500 hakuna mpango wowote wakutatua tunaelekea zimbambwe mpaka sasa hii ni dalili ya maisha magumu zaidi mbeleni
Screenshot_20230804-131349.png
 
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Ngoja Manara na Mpoto watushauri
 
Sahih kbsaa ktk mji wa Arusha maduka Ni mengi mno na walivyo porwa mitaji Yao na jembe walifyata na hatujawahi kusiki hbr za dola kuadimika na mijiz kina madelo ndio wamefeli Ni vzr sna maduka haya yakawa regulated upyaa

Kwanza najiuliza wapemata wapi pesa za kuafanya biashra hzo wakt jpm aliwanyanganya mitaji
Kumbe alikuwa mnyang'anyi.
 
Back
Top Bottom